Kipa wa timu ya Mtibwa, Shaban Kado (kushoto) akiokoa moja ya hatari iliyoelekezwa kwenye lango lake na mshambuliaji wa Yanga, Nurdin Bakari (kulia) huku beki wake Obadia Mungusa akiwa tayari kusaidia wakati wa mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara iliyofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Mtibwa ilishinda kwa goli 1-0. (Picha na Fadhili Akida).
No comments:
Post a Comment