<object classid="clsid:D27CDB6E-AE6D-11cf-96B8-444553540000" codebase="http://download.macromedia.com/pub/shockwave/cabs/flash/swflash.cab#version=9,0,0,0" width="468" height="60">
<param name="movie" target="_blank" value="http://www.dataentryjobs.us/Part-Time-Home-Jobs/banners/idev_sample_banner_Flash_468x60.swf?actionURL=http://www.dataentryjobs.us/47006-1-1-2.html">
<param name=quality value=high>
<embed src="http://www.dataentryjobs.us/Part-Time-Home-Jobs/banners/idev_sample_banner_Flash_468x60.swf?actionURL=http://www.dataentryjobs.us/47006-1-1-2.html" quality=high pluginspage="http://www.macromedia.com/shockwave/download/index.cgi?P1_Prod_Version=ShockwaveFlash" type="application/x-shockwave-flash" width="468" height="60">
</embed></object>
LIPUMBA JUNIOR (BRIGHTON)
KARIBUNI SANA.
vodacom
Friday, September 16, 2011
Wednesday, February 9, 2011
Poulsen: Tupo tayari kucheza na Palestina
Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Jan B Poulsem amesema timu yake ipo tayari kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya Taifa ya Palestina unaotarajiwa kufanyika kesho katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Amesema mchezo huo wa kirafiki unaoandaliwa na Shirkisho la Mpira wa Miguu duniani FIFA utatumika kama sehemu ya matayarisho kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa hatua ya pili wa fainali za kombe la mataifa ya Afrika dhidi ya timu ya Afrika ya Kati utakaochezwa mwezi ujao.
“Tumejiandaa kucheza mchezo huo, wachezaji wa Yanga wataingia kambini leo mchana, lakini hata wasipoingia lazima tucheze mchezo huo, tupo katika maandalizi hivyo mechi yoyote ni muhimu kwetu.” alisema Poulsen.
Ameongeza kuwa akiwa hafahamu utaratibu unaotumika na FIFA wa kutoa viwango vya timu duniani, atacheza mchezo huo kwa kuwa tayari timu ya Palestina kutoka nchi za Kiarabu imewasili kwa ajili ya mchezo huo.
Akiizungumzia mechi hiyo Poulsen amesema Palestina ni timu nzuri na yenye kucheza mchezo mzuri hivyo kuwa nyuma katika viwango vya FIFA haitaifanya Stars kuidharau mechi hiyo.
Naye kocha wa Palestina Bezaz Moussa amesema wanashukuru kupata nafasi ya kucheza na Tanzania , nchi ambayo ipo katika mchakato wa kukuza soka lake, hivyo mchezo wa kesho utakuwa mgumu kwao.
“Tumeifahamu zaidi Tanzania kupitia katika mchezo wake dhidi ya Algeria , ni timu nzuri na bora kwetu, tutajitahidi kupata ushindi na kucheza mchezo mzuri kwani timu yangu inawachezaji mahiri na wazuri.”alisema Moussa.
Kocha Moussa ameongeza kuwa timu yake inapata uzoefu zaidi wa mechi za kimataifa, imeshacheza mechi nyingi zikiwemo Botania na Sudan ambazo walitoka sare ya 1-1 huku wakifungwa 3-0 na Iraq.
Mchezo wa kesho unatarajiwa kuchezwa jioni majira ya saa 11, kukiwa na viingilio kuanzania kiwango cha shilingi 1,000 hadi 10,000.
Chadema wachafua hali ya hewa bungeni
![]() |
| Wabunge wa Chadema, wakitoka nje ya ukumbi wa Bunge jana, kuashiria kupinga kupitishwa kwa Azimio la kufanya mabadiliko katika kanuni za Bunge |
"Madamu Bunge limeona busara kuleta hoja hii, na vijembe vile, kwa masikitiko nasema hatutashiriki kumalizia hoja hii, naomba kutoa hoja," alimalizia maelezo yake Mbowe na kuanza kutoka nje akifuatiwa na wabunge wa chama hicho.
Hata hivyo, wakati wabunge hao wa Chadema wakitoka nje, wabunge waliobaki wengi wakiwa wa chama tawala CCM, walisikika wakitoa maneno ya kebehi dhidi ya wabunge wa Chadema.
"Tumewazoea kukimbia, kwisha, uchoyo, weak politicians, na kwenye posho msije, mnadaiwa na mabenki,"walisikika wabunge wakisema kwa kupiga kelele.
Awali Mbowe akichangia mjadala huo alisema kuwa ushirika ni jambo la msingi, lakini katika Bunge la Kumi kuna tofauti za msingi.
"Bunge la Kumi kuna tofauti za msingi, haki ya kila chama haiondolewi kwa dhana za juu juu. Kuchagua mshirika ni haki yetu kikatiba na hatuwezi kulazimishwa ndoa, tumeona vijembe vilivyotokea leo tutawezaje kuwa na kambi moja?. Tunahitaji muda zaidi" alisema Mbowe na kuongeza:
“Ni vigumu ukalazimishwa uchumba na mtu hivyo hivyo hatuwezi kulazimishwa katika ushirikiano,’’ alisema na kuongeza: “ Hakuna trust(uaminifu) katika ushirika huu.’’
Aliongeza: "Viongozi wa vyama kushirikiana ni vizuri, tupeane muda, maridhiano hayawezi kuwa ndani ya wiki moja au mbili. Uamuzi wenu unabomoa, kwani hapa tatizo si tafsiri bali dhana ya ushirika tunaotaka bungeni. Yapo ya msingi, lakini si kutulazimisha kuingia katika jambo ambalo hatujaridhia."
Mbowe alisema tofauti zilizopo zinazungumzika huku akionya kuwa wingi usitumiwe kugandamiza Chadema na kwamba kanuni zisitumiwe kuua msingi wa haki ambapo pia alieleza kuwa chama chake hakitakubali hilo na ndiyo dhamira ya Chadema.
Wakati wakitoka kwenye ukumbi huo, majira ya saa 11:30 jioni wabunge wengine wa CCM, TLP, NCCR-Mageuzi, UDP na CUF walioonekana kushikwa butwaa kwa kitendo hicho.
Mkutano na Waandishi wa Habari
Baada ya kutoka nje, Mbowe alizungumza na wanahabari, mkutano ambao ulirushwa moja kwa moja na Kituo cha Televisheni cha Star (Star TV).
Katika mkutano huo, Mbowe alisema wataendelea kupinga vitendo vyote vinavyovunja Kanuni za Bunge kwa maslahi ya Bunge na Taifa.
"Hatutawaheshimu kamwe wabunge 'wanaocompromise' haki zao (wanaokubali haki zao kudhulumiwa), na tutaendelea kupinga kilichotokea leo, ndani na nje ya Bunge," alisema Mbowe.
Hata hivyo, baada ya kumalizika na kupitishwa marekebisho hayo ya kile kilichoelezwa kuwa kuondoa utata wa tafsiri katika kanuni ya 14 hadi 16 ya Bunge, wabunge hao wa Chadema walirudi ndani ya Ukumbi wa Bunge na kuzua tena maneno ya chini chini kutoka kwa wabunge.
Kwa kupitishwa mabadiliko hayo na kwa mujibu wa kanuni ya 15(2) tafsiri ya Kambi Rasmi ya upinzani bungeni ni kambi inayoundwa na vyama vya upinzani vinavyowakilishwa bungeni.
Hata hivyo, bado Chadema kwa mujibu wa Kanuni za Bunge ndicho kitakachotoa Kiongozi wa Kambi ya Upinzani bungeni na naibu wake. Pia kiongozi huyo ana mamlaka na uhuru wa kuteua Baraza la Mawaziri Kivuli kutokana na wabunge wa upinzani waliopo.
Hata hivyo, azimio hilo linaondoa dhana iliyokuwepo kwamba Chadema ndicho kingetoa wenyeviti wa Kamati za Hesabu za Serikali ambazo kwa mujibu wa Kanuni za Bunge zinatakiwa kuongozwa na wapinzani.
Tofauti na ilivyokuwa ikifahamika awali, mabadiliko ya jana yanatoa fursa kwa mbunge yeyote wa upinzani kugombea nafasi hizo bila kuhitaji idhini ya uongozi wa kambi ya upinzani.
Wachunguzi wa mambo ya siasa wanaiona hatua hiyo kuwa ni kuwanyima Chadema nafasi ya kuongoza kamati hizo, kwani kwa kuzingatia uhusiano wake mbaya na CCM ni dhahiri nafasi za wenyeviti zitakwenda kwa vyama vya CUF, NCCR – Mageuzi , TLP au UDP ambavyo wabunge wake walikuwa wakiunga mkono azimio la kuingizwa kwa tafsiri hiyo katika Kanuni za Bunge.
Spika Anne Makinda
Kabla ya kuhitimishwa kwa hoja hiyo iliyopigiwa kura na kupitishwa, Spika wa Bunge, Anne Makinda alisema kuwa:
"Katika hoja hii, Chadema haikuwa na ukweli, wananchi wajue hili. Wenzetu wamepitiwa. Kitendo kilichotokea hapa si utaratibu mzuri, watawaambia nini wananchi?."
Spika alionekana kukerwa na kitendo hicho cha Chadema na kuhoji iwapo kweli wabunge hao wapo kwa ajili ya maslahi ya umma au maslahi yao wenyewe.
Hata hivyo, mkutano wa Bunge uliendelea kwa Naibu Spika, Job Ndugai kufafanua baadhi ya vipengele vinavyohalalisha uwepo wa kambi ya upinzani bungeni.
Kwa pamoja wabunge waliobaki walipitisha azimio la kuwepo kwa kambi rasmi ya upinzani bungeni.
Vijembe vya Mrema na Lusinde
Mbunge wa Jimbo la Vunjo(TLP), Augustine Mrema pamoja na Livingstone Lusinde wa Jimbo la Mtera (CCM) waliwapiga vijembe Chadema wakati wakichangia hotuba ya Rais Kikwete aliyoitoa Novemba 18 mwaka jana alipokuwa akizindua rasmi Bunge la Kumi.
Mrema aliwapiga vijembe Chadema akisema alistahili kuwa kiongozi wa kambi ya upinzani kutokana na uzoefu pamoja na sifa alizonazo.
“Nimekuwa mbunge mara tatu kwa vyama vitatu tofauti, nimekuwa naibu waziri mkuu, nikakamata kontena la dhahabu, niliweza kupambana na ufisadi hivyo nilistahili kuwa kiongozi wa kambi ya upinzani,” alisema Mrema.
Naye Lusinde alikwenda mbali na kusema kutokana na viongozi kuonekana kuchoshwa na amani iliyopo, alipendekeza wabunge wapigane bungeni ili wajue uchungu wa kupoteza amani.
“Nafikiri kuliko kuwashawishi kwanza wananchi wavunje amani kwanza ningependa kuona siku moja bungeni humu wabunge tukizichapa ili tujue uchungu wa kupoteza na si tu kuwashawishi wananchi halafu sisi viongozi hatudhuriki na tunajipatia sifa za bure,’’ alisema Lusinde
Friday, February 4, 2011
Mbrazil aomba kazi Yanga
UONGOZI wa klabu ya Yanga umeanza mazungumzo na kocha kutoka nchini Brazil, Giampaulo Pedroso kwa ajili ya kuchukua nafasi ya kocha mkuu wa klabu hiyo iliyoachwa na Kostadin Papic.
Kocha huyo ambaye aliwasili hivi karibuni alishuhudia mechi kati ya Yanga na Mtibwa iliyochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na Mwananchi, Mwenyekiti wa Yanga, Lloyd Nchunga alisema wameanza mazungumzo na kocha huyo ikiwa ni mchakato wa kutafuta kocha atakayemrithi Papic.
"Tunatafuta kocha mzuri kwa ajili ya klabu yetu, zoezi la kumpata kocha mpya bado halijakamilika, kwa hiyo Pedroso yupo nchini na tutawaambia wananchi kama tutamchukua yeye au tutamuacha, ila bado tunaendelea na mzungumzo,"alisema Nchunga.
Nchunga alisema hawafanyi zoezi hilo kwa haraka na ndiyo maana wanafanya mazungumzo na makocha wengi.
"Tunatakiwa kuwa waangalifu na suala hili la kumpata kocha mpya kwa sababu kuunda benchi zuri la ufundi ni muhimu kwa timu yetu, tukimchagua kocha ambaye hana vigezo na mafunzo atatusababishia usumbufu, hatutaki kuingia kwenye usumbufu tena,"alisema Nchunga.
Naye kocha Pedroso akizungumza na Mwananchi alisema kwamba alikuwa nchini Marekani kwa miaka sita akifundisha soka kwenye academy na akiifundisha timu ya Dallas ambayo inashiriki Ligi Kuu ya Marekani inayofahamika kama Major League Soccer (MLS).
"Hivi sasa naifundisha timu inayoitwa Liverpool America na kama mapendekezo yangu ya kuomba kuifundisha Yanga yatakubaliwa nitakuja kuifundisha timu hiyo,"alisema Pedroso.
Alisema ameiona Yanga kwa dakika 90 ikicheza dhidi ya Mtibwa Sugar, ambapo amesema amegundua timu hiyo ina wachezaji wengi wenye vipaji, ila wanakosa mambo ya kiufundi hasa hasa katika ushambuliaji.
"Yanga walitawala mechi ile, walitengeneza nafasi nyingi, ila kufunga ilikuwa ni tatizo, wanatakiwa kuwa makini katika ufungaji na kufanya mabadiliko madogo, nina matumaini Yanga itakuwa timu nzuri kabisa,"alisema Pedroso
Kocha huyo ambaye aliwasili hivi karibuni alishuhudia mechi kati ya Yanga na Mtibwa iliyochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na Mwananchi, Mwenyekiti wa Yanga, Lloyd Nchunga alisema wameanza mazungumzo na kocha huyo ikiwa ni mchakato wa kutafuta kocha atakayemrithi Papic.
"Tunatafuta kocha mzuri kwa ajili ya klabu yetu, zoezi la kumpata kocha mpya bado halijakamilika, kwa hiyo Pedroso yupo nchini na tutawaambia wananchi kama tutamchukua yeye au tutamuacha, ila bado tunaendelea na mzungumzo,"alisema Nchunga.
Nchunga alisema hawafanyi zoezi hilo kwa haraka na ndiyo maana wanafanya mazungumzo na makocha wengi.
"Tunatakiwa kuwa waangalifu na suala hili la kumpata kocha mpya kwa sababu kuunda benchi zuri la ufundi ni muhimu kwa timu yetu, tukimchagua kocha ambaye hana vigezo na mafunzo atatusababishia usumbufu, hatutaki kuingia kwenye usumbufu tena,"alisema Nchunga.
Naye kocha Pedroso akizungumza na Mwananchi alisema kwamba alikuwa nchini Marekani kwa miaka sita akifundisha soka kwenye academy na akiifundisha timu ya Dallas ambayo inashiriki Ligi Kuu ya Marekani inayofahamika kama Major League Soccer (MLS).
"Hivi sasa naifundisha timu inayoitwa Liverpool America na kama mapendekezo yangu ya kuomba kuifundisha Yanga yatakubaliwa nitakuja kuifundisha timu hiyo,"alisema Pedroso.
Alisema ameiona Yanga kwa dakika 90 ikicheza dhidi ya Mtibwa Sugar, ambapo amesema amegundua timu hiyo ina wachezaji wengi wenye vipaji, ila wanakosa mambo ya kiufundi hasa hasa katika ushambuliaji.
"Yanga walitawala mechi ile, walitengeneza nafasi nyingi, ila kufunga ilikuwa ni tatizo, wanatakiwa kuwa makini katika ufungaji na kufanya mabadiliko madogo, nina matumaini Yanga itakuwa timu nzuri kabisa,"alisema Pedroso
Manji apanda kizimbani Kisutu
MFANYABIASHARA maarufu nchini, Yusuf Manji, jana alipanda kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam kutoa ushahidi katika kesi aliyomfungulia Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Regild Mengi na kumdai fidia Sh1.
Lakini katika kile kilichothibitisha kukua kwa teknolojia, Manji alitoa sehemu kubwa ya ushahidi kwa kuonyesha mkanda wa video badala ya kuzungumza.
Mkanda huo wa picha wa (DVD) ulionyesha hotuba ya Mengi wakati akizungumza na waandishi wa habari na kumtaja Manji kuwa miongoni mwa mafisadi papa wanaoihujumu nchi.
Mkanda huo ulionyeshwa katika mahakama ya wazi, mbele ya Hakimu Mkazi Aloyce Katemana, wakati Manji akitoa ushahidi wake katika kesi hiyo iliyokuwa kivutio cha aina yake jana mahakamani hapo.
Katika mkanda huo Mwenyekiti huyo wa Makampuni ya IPP, alionekana na kusikika akiwataja watu watano wanaotuhumiwa kuhusika na ufisadi mkubwa nchini na kuitaka serikali iwashughulikie haraka ili kuinusuru nchi isiyumbishwe nao.
Katika hotuba yake hiyo pamoja na Manji, Mengi aliwataja mafisadi wengine aliowaita papa kuwa ni pamoja na Mbunge wa Igunga na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CC-CCM) na Halmashauri Kuu ya Chama hicho (NEC-CCM) Taifa, Rostam Aziz. Wengine ni wafanyabiashara, Tanil Somaiya, Jeetu Patel na Subash Patel, ambao alisema wanatuhumiwa kuiba mabilioni ya wananchi na kuzihamishia nje ya nchi.
Baada ya kumaliza kuonyesha mkanda huo (DVD) mahakamani hapo, Manji aliiomba mahakama iipokee DVD hiyo kama moja ya kielelezo cha ushahidi wake katika kesi hiyo.
Mbali na mkanda huo, katika ushahidi wake Manji pia alitoa nyaraka mbalimbali ikiwemo mikataba yake ya kazi pamoja na vyeti vya shule na vyuo mbalimbali alivyosoma na kuvionesha mahakamani hapo kama vielelezo vya ushahidi kwenye kesi hiyo.
Katika ushahidi huo Manji alidai kuwa tuhuma zilizotolewa na Mengi dhidi yake zilimshushia heshima kwa taifa, familia yake, wafanyakazi wake na wabunge kwa kuwa waliamini yaliyosemwa na Mengi.
Alidai kuwa baada ya Mengi kutoa tuhuma hizo ambazo alidai kuwa yeye(Manji) ni Fisadi Papa, alialikwa kwenye mkutano (public conference) ambao ulishirikisha wabunge kutoa hotuba, lakini kutokana na tuhuma zilizotolewa na Mengi aliambiwa kuwa hotuba yake imefutwa kwa sababu ‘si mtu mzuri kwa Tanzania’ hivyo akawa mgeni wa kawaida hatua ambayo ilimnyanyasa.
Akiendelea kutoa ushahidi wake, Manji alidai kuwa yeye hausiki katika kashfa inayohusu kampuni ya Richmond, ambayo ilitiliana saini na Shirika la Umeme nchini (Tanesco) mkataba tata wa kufua umeme wa dharura.
Pia alidai ahusiki katika kashfa nyingine ya akaunti ya Malipo ya Madeni ya Nje (EPA) kwenye Benki Kuu ya Tanzania (BoT), wala kampuni ya Dowans Tanzania Limited iliyorithi mkataba tata wa Richmond.
Alidai pia hahusiki katika ununuzi wa helikopta na magari ya jeshi, ndege ya Rais, rada, Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Mfuko wa Pensheni ya Watumishi wa Umma (PSPF), Bahati Nasibu ya Taifa na Mradi wa Makaa ya Mawe wa Mchuchuma kama ilivyodaiwa.
Hata hivyo, Hakimu Katemana ameiahirisha kesi hiyo hadi leo ambapo Manji ataendelea kutoa ushahidi wake.
Kufunguliwa kwa kesi
April 29, 2009, Manji alimfugulia kesi Mengi pamoja na Kituo cha runinga cha ITV kinachomilikiwa na Mwenyekiti huyo wa IPP akidai alipwe fidia ya Sh1 kama fidia ya kumkashifu kwa kumwita fisadi papa pamoja na wafanyabiashara wengine.
Manji alifungua kesi hiyo katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu, Dar es Salaam kupitia kampuni ya muwakili ya Muganda, Kamugisha na Bwana.
Wakili John Kamugisha, aliyemwakilisha Manji wakati wa kufungua kesi hiyo alipoulizwa sababu ya mteja wake kudai shilingi moja kama fidia, alisema mteja wake huyo (Manji) anaamini kuwa heshima na utu vina thamani kuliko fedha. Kwa mujibu wa Kamugisha kesi hiyo ni ya kwanza kudai kiwango kidogo cha fedha na kwamba ilitarajiwa kuwashangaza wengi.
Katika kesi hiyo Manjia anadai kuwa Mengi kupitia kipindi maalumu cha ITV kilichorushwa April 23, 2009 mara baada ya taarifa ya habari ya saa mbili usiku alimkashifu kwa kutoa matamshi yanayomdhalilisha.
Lakini katika kile kilichothibitisha kukua kwa teknolojia, Manji alitoa sehemu kubwa ya ushahidi kwa kuonyesha mkanda wa video badala ya kuzungumza.
Mkanda huo wa picha wa (DVD) ulionyesha hotuba ya Mengi wakati akizungumza na waandishi wa habari na kumtaja Manji kuwa miongoni mwa mafisadi papa wanaoihujumu nchi.
Mkanda huo ulionyeshwa katika mahakama ya wazi, mbele ya Hakimu Mkazi Aloyce Katemana, wakati Manji akitoa ushahidi wake katika kesi hiyo iliyokuwa kivutio cha aina yake jana mahakamani hapo.
Katika mkanda huo Mwenyekiti huyo wa Makampuni ya IPP, alionekana na kusikika akiwataja watu watano wanaotuhumiwa kuhusika na ufisadi mkubwa nchini na kuitaka serikali iwashughulikie haraka ili kuinusuru nchi isiyumbishwe nao.
Katika hotuba yake hiyo pamoja na Manji, Mengi aliwataja mafisadi wengine aliowaita papa kuwa ni pamoja na Mbunge wa Igunga na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CC-CCM) na Halmashauri Kuu ya Chama hicho (NEC-CCM) Taifa, Rostam Aziz. Wengine ni wafanyabiashara, Tanil Somaiya, Jeetu Patel na Subash Patel, ambao alisema wanatuhumiwa kuiba mabilioni ya wananchi na kuzihamishia nje ya nchi.
Baada ya kumaliza kuonyesha mkanda huo (DVD) mahakamani hapo, Manji aliiomba mahakama iipokee DVD hiyo kama moja ya kielelezo cha ushahidi wake katika kesi hiyo.
Mbali na mkanda huo, katika ushahidi wake Manji pia alitoa nyaraka mbalimbali ikiwemo mikataba yake ya kazi pamoja na vyeti vya shule na vyuo mbalimbali alivyosoma na kuvionesha mahakamani hapo kama vielelezo vya ushahidi kwenye kesi hiyo.
Katika ushahidi huo Manji alidai kuwa tuhuma zilizotolewa na Mengi dhidi yake zilimshushia heshima kwa taifa, familia yake, wafanyakazi wake na wabunge kwa kuwa waliamini yaliyosemwa na Mengi.
Alidai kuwa baada ya Mengi kutoa tuhuma hizo ambazo alidai kuwa yeye(Manji) ni Fisadi Papa, alialikwa kwenye mkutano (public conference) ambao ulishirikisha wabunge kutoa hotuba, lakini kutokana na tuhuma zilizotolewa na Mengi aliambiwa kuwa hotuba yake imefutwa kwa sababu ‘si mtu mzuri kwa Tanzania’ hivyo akawa mgeni wa kawaida hatua ambayo ilimnyanyasa.
Akiendelea kutoa ushahidi wake, Manji alidai kuwa yeye hausiki katika kashfa inayohusu kampuni ya Richmond, ambayo ilitiliana saini na Shirika la Umeme nchini (Tanesco) mkataba tata wa kufua umeme wa dharura.
Pia alidai ahusiki katika kashfa nyingine ya akaunti ya Malipo ya Madeni ya Nje (EPA) kwenye Benki Kuu ya Tanzania (BoT), wala kampuni ya Dowans Tanzania Limited iliyorithi mkataba tata wa Richmond.
Alidai pia hahusiki katika ununuzi wa helikopta na magari ya jeshi, ndege ya Rais, rada, Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Mfuko wa Pensheni ya Watumishi wa Umma (PSPF), Bahati Nasibu ya Taifa na Mradi wa Makaa ya Mawe wa Mchuchuma kama ilivyodaiwa.
Hata hivyo, Hakimu Katemana ameiahirisha kesi hiyo hadi leo ambapo Manji ataendelea kutoa ushahidi wake.
Kufunguliwa kwa kesi
April 29, 2009, Manji alimfugulia kesi Mengi pamoja na Kituo cha runinga cha ITV kinachomilikiwa na Mwenyekiti huyo wa IPP akidai alipwe fidia ya Sh1 kama fidia ya kumkashifu kwa kumwita fisadi papa pamoja na wafanyabiashara wengine.
Manji alifungua kesi hiyo katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu, Dar es Salaam kupitia kampuni ya muwakili ya Muganda, Kamugisha na Bwana.
Wakili John Kamugisha, aliyemwakilisha Manji wakati wa kufungua kesi hiyo alipoulizwa sababu ya mteja wake kudai shilingi moja kama fidia, alisema mteja wake huyo (Manji) anaamini kuwa heshima na utu vina thamani kuliko fedha. Kwa mujibu wa Kamugisha kesi hiyo ni ya kwanza kudai kiwango kidogo cha fedha na kwamba ilitarajiwa kuwashangaza wengi.
Katika kesi hiyo Manjia anadai kuwa Mengi kupitia kipindi maalumu cha ITV kilichorushwa April 23, 2009 mara baada ya taarifa ya habari ya saa mbili usiku alimkashifu kwa kutoa matamshi yanayomdhalilisha.
Noti mpya zaitikisa BoT
BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imelazimika kumleta nchini, Mkurugenzi wa Kampuni ya Crane Curreny, ya Sweden iliyoshinda zabuni ya kutengeza noti mpya zilizoanza kutumika Januari mwaka huu, kueleza ubora wake baada ya noti hizo kuhisiwa kuwa zinachuja na ni rahisi kughushiwa.Ujio wa mtaalamu huyo, Peter Brown ni utekelezaji wa ahadi ya Gavana wa BoT, Professa Benno Ndullu aliyoitoa wiki mbili zilizopita kuhusu taasisi yake kufuatilia ubora wa noti mpya ambao ulianza kutiliwa mashaka na baadhi ya wananchi.
Januari 23, mwaka huu gazeti hili liliripoti habari ya uchunguzi iliyoelezea mashaka kuhusu ubora wa noti hizo mpya, baada ya kubainika kuwa baadhi zinachuja na kuacha rangi zikilowa maji au jasho.
Kwa mujibu wa uchunguzi huo, noti hizo hasa za Sh5,000 na Sh10,000 pia zilibainika kuwa zikikandamizwa kwenye karatasi nyeupe bila kulowanishwa na maji au jasho, huacha rangi.
Hali hiyo ilisababisha baadhi ya watu kuanza kutilia mashaka ubora wake, huku wasomi wakitaka Serikali kuwa makini kwa kuwa inaweza kupata hasara kubwa.
Katika kufuatilia suala hilo, Gavana Ndulu aliliambia Mwananchi kwamba BoT itafuatilia utta huo ikiwa ni pamoja na kuwasiliana na mzabuni ambaye ni kampuni ya Crane Currency ili kasoro zinazojitokeza ziweze kurekebishwa mara moja.
Maelezo ya mtaalamu Brown
Jana, Brown ambaye ni Mkurugenzi Mauzo wa Kampuni ya Crane Currency, Kanda ya Afrika alitoa ufafanuzi kuhusu ubora wa noti mpya ili kuondoa mashaka yaliyojitokeza.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Brown alisema kutoa rangi ni moja ya alama za usalama na ubora wa noti hizo.
Brown alifafanua kuwa noti hizo zimetengenezwa kwa teknolojia ijulikanayo kama ‘Intaglio’ ambayo imekuwa ikitumika kwa muda mrefu katika kuchapisha noti mbalimbali duniani. Alisema teknolojia hiyo inatoa uhakika mkubwa wa usalama wa noti.
Brown alifika nchini juzi na jana alifanya mkutano na uongozi wa BoT na kusema kampuni yake imekuwa ikichapisha noti mbalimbali duniani, zikiwemo dola za Marekani na kwamba noti zote zilizochapishwa kwa kutumia teknolojia hiyo huwa na wino mwingi katika kingo zake.
Kampuni hiyo ya Crane Currency yenye makao yake nchini Sweden ndio iliyoshinda zabuni ya kuchapisha noti mpya za shilingi 500, 1,000, 2,000, 5,000 na 10,000.
Akifafanua juu ya madai kuwa noti hizo zikilowa kwa jasho au maji zinatoa rangi, Prof Ndulu alisema uchujaji huo hauwezi kumaliza rangi iliyotumika katika utengenezaji na kwamba noti hizo zinaweza kuendelea kuwa katika ubora ule ule kwa muda mrefu.
“Noti zote hizi zinapotengenezwa kiwandani, zinapitishwa kwenye test (majaribio), zinawekwa kwenye maji, zinapitia cycles (mizunguko) yote na zinapotoka zinatakiwa zibaki vilevile,” alifafanua.
Maelezo ya Gavana Ndulu
Gavana Ndulu kwa uapnde alieleza kuwa noti hizo kutoa rangi wakati zimesuguliwa kwenye karatasi au kulowana ni moja ya alama zake za usalama.
Hata hivyo, wakati BoT wakitangaza katika vyombo vya habari kuhusu alama za usalama (security features) katika noti hizo, hawakuwahi kutaja hilo la kuchuja kwa rangi za noti hizo kuwa miongoni mwa vigezo vya ubora wake.
Ndulu alisema rangi hiyo inyotoka katika noti hizo, huwezi kuiona katika noti bandia na kwamba teknolojia iliyotumika inasaidia noti hizo kukaa muda mrefu bila kuchakaa.
Prof Ndulu aliwaambia waandishi wa habari kuwa hata noti za zamani za Sh 5,000 na 10,000 pia zikisuguliwa kwenye karatasi huacha rangi.
“Ukitaka kujua noti halali, kama ukiisugua kwenye karatasi, lazima iache rangi na rangi inapokuwa imekolea zaidi, inaacha zaidi,” alisema Prof Ndulu na kuongeza:
"Noti bandia haziwezi kuacha rangi kwa kuwa hazikutengenezwa kitaalamu na hiyo ni njia nzuri kwa mtumiaji kugundua noti bandia na noti halali na pia noti ikiwa na rangi nyingi inakuwa ni imara na haichakai mapema".
Kuhusu kuwepo kwa noti za zamani na za sasa katika mzunguko wa fedha alisema noti zote ni halali na zitaendelea kutumika hadi zile za zamani zitakapoisha kwenye mzunguko.
Prof Ndulu alisema noti hizo zitachukua mwaka mmoja kupotea, hivyo zote zitaendelea kuwa halali kwa manunuzi ya nchini.
Alisema hivi sasa kuna watu wameshaanza kutengeneza noti bandia na tayari ameshaiona moja ya aina hiyo na kufahamisha kuwa suala la kubadili fedha kila baada ya muda linatokana na kuwakwepa wajanja ambao hutengeneza bandia.
Akizungumzia akiba ya fedha za kigeni ambayo Tanzania inayo hadi hivi sasa, Prof Ndulu alisema kuwa nchi ina dola za Marekani 3.8 bilioni ambazo zinaweza kununua huduma kwa nchi nzima kwa miezi sita mfululizo.
Alisema kiasi hicho cha fedha ni kikubwa kupita nchi yeyote ya Afrika Mashariki.
"Hatuna shida kwenye hilo kwa kuwa hata kwa benki za biashara zina kiasi cha Sh1 bilioni na watu wa kawaida wana Sh1.5 bilioni,"alisema Prof Ndulu na kuongeza kuwa nchi kwa ujumla ina zaidi ya Sh5 bilioni ya fedha za kigeni.
Mtazamo wa Jamii
Baadhi ya watu waliowasiliana na gazeti hili wamelalamikia tatizo la noti mpya kuchuja na kuitaka Benki Kuu (BoT) kulifuatilia kwa karibu na kulipatia ufumbuzi.
Lawrence Mkina ambaye mkazi wa jijini Dar es Salaam aliiambia Mwananchi kwa njia ya simu kuwa haamini kama noti mpya zina ubora unaotakiwa.
Alisema aliweka noti mpya za Sh 5,000 lakini kwenye mfuko wa shati jeupe baadaye alipozitoa shati lilikuwa limechafuka kwa rangi ya noti hizo.
Mkina alidai kuwa huenda noti hizo zitakuwa ‘zimechachakuliwa’ na wanjanja mitaani kwani hata ukiisugua katika karatasi nyeupe inaacha rangi kama vile carbon paper.
Ili kuthibitisha madai hayo, gazeti hili ilichukua noti mpya ya Sh 5,000 na kuisugua kwenye karatasi ya nyeupe na noti hiyo iliacha rangi nyingi ya bluu.
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Mzumbe, Dk Honest Ngowi alieleza madhara ya noti zisizokuwa na ubora kuwa ni pamoja na kugushiwa kirahisi.
“Ubora wa noti ni kitu muhimu na kama ikikosa ubora inaleta maswali mengi na moja ya athari itakayojitokeza ni kugushiwa kirahisi,’’ alisema Dk Ngowi.
Dk Ngowi ambaye ni mwanazuoni aliyebobea katika taaluma ya uchumi, alisema noti ikikosa ubora, huchakaa mapema na kuleta utata katika kukubalika kwenye soko.
“Kutokana na kuchakaa mapema, serikali italazimika kuchapisha noti nyingini hali ambayo italigharimu taifa fedha nyingi katika muda mfupi. Pia inawezekana nchi za Jumuiya ya Afrika ya Afrika Mashariki, zikakataa kuzitumia noti hizo,’’ alisema.
Kuhusu sifa na ubora wa noti, Dk Ngowi alisema ni lazima iwe katika kiwango bora ikiwamo kuwa na karatasi ngumu isiyochakaa na kuchanika mapema na kuwa na uzito.
“Noti yenye ubora ni lazima iwe na sifa ya Durabillity, isiyoharibika mapema na iwe nzito,’’ alisema Dk Ngowi.
Ahadi ya Gavana
Kutokana na hali hiyo, Gavana Ndullu, alisema BoT inafuatilia kwa karibu matatizo yanayojitokeza katika noti hizo mpya na kuyafanyia kazi.
“Hili linawezekana ingawa wewe ndio mtu wa kwanza kujitokeza kueleza, lakini kama tatizo hili lipo, tutalifanyia kazi,’’ alisema Profesa Ndullu.
Akaongeza: “ Kwa sasa BoT ina monitor (Fuatailia) kwa ukaribu usambazaji wa noti mpya pamoja na kuangalia matatizo yanayojitokeza na kuyafanyia kazi haraka iwezekanavyo.’’
Gavana huyo alisema matatizo yote yatakayojitokeza katika noti hizo yatafikishwa kwa mzabuni aliyezichapisha ili kufanyiwa kazi.
Januari 23, mwaka huu gazeti hili liliripoti habari ya uchunguzi iliyoelezea mashaka kuhusu ubora wa noti hizo mpya, baada ya kubainika kuwa baadhi zinachuja na kuacha rangi zikilowa maji au jasho.
Kwa mujibu wa uchunguzi huo, noti hizo hasa za Sh5,000 na Sh10,000 pia zilibainika kuwa zikikandamizwa kwenye karatasi nyeupe bila kulowanishwa na maji au jasho, huacha rangi.
Hali hiyo ilisababisha baadhi ya watu kuanza kutilia mashaka ubora wake, huku wasomi wakitaka Serikali kuwa makini kwa kuwa inaweza kupata hasara kubwa.
Katika kufuatilia suala hilo, Gavana Ndulu aliliambia Mwananchi kwamba BoT itafuatilia utta huo ikiwa ni pamoja na kuwasiliana na mzabuni ambaye ni kampuni ya Crane Currency ili kasoro zinazojitokeza ziweze kurekebishwa mara moja.
Maelezo ya mtaalamu Brown
Jana, Brown ambaye ni Mkurugenzi Mauzo wa Kampuni ya Crane Currency, Kanda ya Afrika alitoa ufafanuzi kuhusu ubora wa noti mpya ili kuondoa mashaka yaliyojitokeza.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Brown alisema kutoa rangi ni moja ya alama za usalama na ubora wa noti hizo.
Brown alifafanua kuwa noti hizo zimetengenezwa kwa teknolojia ijulikanayo kama ‘Intaglio’ ambayo imekuwa ikitumika kwa muda mrefu katika kuchapisha noti mbalimbali duniani. Alisema teknolojia hiyo inatoa uhakika mkubwa wa usalama wa noti.
Brown alifika nchini juzi na jana alifanya mkutano na uongozi wa BoT na kusema kampuni yake imekuwa ikichapisha noti mbalimbali duniani, zikiwemo dola za Marekani na kwamba noti zote zilizochapishwa kwa kutumia teknolojia hiyo huwa na wino mwingi katika kingo zake.
Kampuni hiyo ya Crane Currency yenye makao yake nchini Sweden ndio iliyoshinda zabuni ya kuchapisha noti mpya za shilingi 500, 1,000, 2,000, 5,000 na 10,000.
Akifafanua juu ya madai kuwa noti hizo zikilowa kwa jasho au maji zinatoa rangi, Prof Ndulu alisema uchujaji huo hauwezi kumaliza rangi iliyotumika katika utengenezaji na kwamba noti hizo zinaweza kuendelea kuwa katika ubora ule ule kwa muda mrefu.
“Noti zote hizi zinapotengenezwa kiwandani, zinapitishwa kwenye test (majaribio), zinawekwa kwenye maji, zinapitia cycles (mizunguko) yote na zinapotoka zinatakiwa zibaki vilevile,” alifafanua.
Maelezo ya Gavana Ndulu
Gavana Ndulu kwa uapnde alieleza kuwa noti hizo kutoa rangi wakati zimesuguliwa kwenye karatasi au kulowana ni moja ya alama zake za usalama.
Hata hivyo, wakati BoT wakitangaza katika vyombo vya habari kuhusu alama za usalama (security features) katika noti hizo, hawakuwahi kutaja hilo la kuchuja kwa rangi za noti hizo kuwa miongoni mwa vigezo vya ubora wake.
Ndulu alisema rangi hiyo inyotoka katika noti hizo, huwezi kuiona katika noti bandia na kwamba teknolojia iliyotumika inasaidia noti hizo kukaa muda mrefu bila kuchakaa.
Prof Ndulu aliwaambia waandishi wa habari kuwa hata noti za zamani za Sh 5,000 na 10,000 pia zikisuguliwa kwenye karatasi huacha rangi.
“Ukitaka kujua noti halali, kama ukiisugua kwenye karatasi, lazima iache rangi na rangi inapokuwa imekolea zaidi, inaacha zaidi,” alisema Prof Ndulu na kuongeza:
"Noti bandia haziwezi kuacha rangi kwa kuwa hazikutengenezwa kitaalamu na hiyo ni njia nzuri kwa mtumiaji kugundua noti bandia na noti halali na pia noti ikiwa na rangi nyingi inakuwa ni imara na haichakai mapema".
Kuhusu kuwepo kwa noti za zamani na za sasa katika mzunguko wa fedha alisema noti zote ni halali na zitaendelea kutumika hadi zile za zamani zitakapoisha kwenye mzunguko.
Prof Ndulu alisema noti hizo zitachukua mwaka mmoja kupotea, hivyo zote zitaendelea kuwa halali kwa manunuzi ya nchini.
Alisema hivi sasa kuna watu wameshaanza kutengeneza noti bandia na tayari ameshaiona moja ya aina hiyo na kufahamisha kuwa suala la kubadili fedha kila baada ya muda linatokana na kuwakwepa wajanja ambao hutengeneza bandia.
Akizungumzia akiba ya fedha za kigeni ambayo Tanzania inayo hadi hivi sasa, Prof Ndulu alisema kuwa nchi ina dola za Marekani 3.8 bilioni ambazo zinaweza kununua huduma kwa nchi nzima kwa miezi sita mfululizo.
Alisema kiasi hicho cha fedha ni kikubwa kupita nchi yeyote ya Afrika Mashariki.
"Hatuna shida kwenye hilo kwa kuwa hata kwa benki za biashara zina kiasi cha Sh1 bilioni na watu wa kawaida wana Sh1.5 bilioni,"alisema Prof Ndulu na kuongeza kuwa nchi kwa ujumla ina zaidi ya Sh5 bilioni ya fedha za kigeni.
Mtazamo wa Jamii
Baadhi ya watu waliowasiliana na gazeti hili wamelalamikia tatizo la noti mpya kuchuja na kuitaka Benki Kuu (BoT) kulifuatilia kwa karibu na kulipatia ufumbuzi.
Lawrence Mkina ambaye mkazi wa jijini Dar es Salaam aliiambia Mwananchi kwa njia ya simu kuwa haamini kama noti mpya zina ubora unaotakiwa.
Alisema aliweka noti mpya za Sh 5,000 lakini kwenye mfuko wa shati jeupe baadaye alipozitoa shati lilikuwa limechafuka kwa rangi ya noti hizo.
Mkina alidai kuwa huenda noti hizo zitakuwa ‘zimechachakuliwa’ na wanjanja mitaani kwani hata ukiisugua katika karatasi nyeupe inaacha rangi kama vile carbon paper.
Ili kuthibitisha madai hayo, gazeti hili ilichukua noti mpya ya Sh 5,000 na kuisugua kwenye karatasi ya nyeupe na noti hiyo iliacha rangi nyingi ya bluu.
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Mzumbe, Dk Honest Ngowi alieleza madhara ya noti zisizokuwa na ubora kuwa ni pamoja na kugushiwa kirahisi.
“Ubora wa noti ni kitu muhimu na kama ikikosa ubora inaleta maswali mengi na moja ya athari itakayojitokeza ni kugushiwa kirahisi,’’ alisema Dk Ngowi.
Dk Ngowi ambaye ni mwanazuoni aliyebobea katika taaluma ya uchumi, alisema noti ikikosa ubora, huchakaa mapema na kuleta utata katika kukubalika kwenye soko.
“Kutokana na kuchakaa mapema, serikali italazimika kuchapisha noti nyingini hali ambayo italigharimu taifa fedha nyingi katika muda mfupi. Pia inawezekana nchi za Jumuiya ya Afrika ya Afrika Mashariki, zikakataa kuzitumia noti hizo,’’ alisema.
Kuhusu sifa na ubora wa noti, Dk Ngowi alisema ni lazima iwe katika kiwango bora ikiwamo kuwa na karatasi ngumu isiyochakaa na kuchanika mapema na kuwa na uzito.
“Noti yenye ubora ni lazima iwe na sifa ya Durabillity, isiyoharibika mapema na iwe nzito,’’ alisema Dk Ngowi.
Ahadi ya Gavana
Kutokana na hali hiyo, Gavana Ndullu, alisema BoT inafuatilia kwa karibu matatizo yanayojitokeza katika noti hizo mpya na kuyafanyia kazi.
“Hili linawezekana ingawa wewe ndio mtu wa kwanza kujitokeza kueleza, lakini kama tatizo hili lipo, tutalifanyia kazi,’’ alisema Profesa Ndullu.
Akaongeza: “ Kwa sasa BoT ina monitor (Fuatailia) kwa ukaribu usambazaji wa noti mpya pamoja na kuangalia matatizo yanayojitokeza na kuyafanyia kazi haraka iwezekanavyo.’’
Gavana huyo alisema matatizo yote yatakayojitokeza katika noti hizo yatafikishwa kwa mzabuni aliyezichapisha ili kufanyiwa kazi.
'Day of departure' rally in Egypt
Tens of thousands of Egyptians are taking part in a "day of departure" to try to oust President Hosni Mubarak.
There is an increased army presence in Cairo's Tahrir Square after unrest that has led to hundreds of casualties.After Friday prayers were held in a relaxed atmosphere, the crowd started chanting for Mr Mubarak to go.
Mr Mubarak has said he is "fed up" with being in power but is resisting mounting pressure to resign as he says it will leave Egypt in chaos.
In his first interview since anti-government protests began, he told ABC News he would like to resign immediately. But he repeated that the country's banned Islamist opposition group - the Muslim Brotherhood - would fill the power vacuum left by his absence.
Opposition leader Mohamed ElBaradei took issue with the president's remarks, saying: "We as a people are fed up as well, it is not only him.
"The idea that there would be chaos is symptomatic of a dictatorship. He thinks if he leaves power the whole country will fall apart."
A senior member of the Muslim Brotherhood, Issam al-Aryan, denied that his group would put forward someone for the presidency, telling the BBC that it would prefer the opposition to nominate a consensus candidate.
"We want a civil state, based on Islamic principles. A democratic state, with a parliamentary system, with freedom to form parties, press freedom, and an independent and fair judiciary," he added.
Thursday, February 3, 2011
Amboni pana mapango 70
KUNA simulizi nyingi kuhusu Mapango ya Amboni ambayo kwa mujibu wa Mhifadhi Mambo ya Kale Amboni, Jumanne Maburi yalitokana na athari ya miamba hiyo kufurika maji yapata miaka 150milioni iliyopita.
Ipo ile ya miaka ya 1940, inayosema kwamba kulikuwa na wazungu wawili, mke na mume walioingia na mbwa kinyume na masharti ili awalinde. Hawakurudi, walipotelea humo. Inadaiwa kwamba mbwa wao alipita chini kwa chini na kutokea Kilimanjaro!
Simulizi nyingine ni ile inayosema kwamba kuna njia katika mapango hayo inayotokea Mombasa. Hata hivyo, Maburi anasema simulizi zote hizo hazijathibitishwa kitaalamu... "Wataalamu waliwahi kufuatilia na baada ya mita tano hapakuwa na njia inayoendelea. Hadi sasa hatuwezi kusema kwamba simulizi hizo zina ukweli."
Lakini kuna mambo ya kusisimua katika mapango hayo, licha ya watalii wa ndani na nje kuyatembelea, wengine zaidi ya mara mbili, kila wakati wakifika hupata jipya na hata yale waliyoyaona yanakuwa kama mageni machoni mwao.
Miamba hiyo ina mambo! Kuna maeneo ambayo yamechongeka katika maumbo mbalimbali ambayo yanafanana au kufananishwa na maeneo ya kijiografia au maumbile ya mwanadamu, wanyama na masuala ya kiimani.
Kwa mfano, kuna eneo ambalo linafananishwa na Kibla, Sanamu ya Bikira Maria, Sanamu ya Mnara wa Uhuru (Liberty) wa Washington, Marekani.
Maeneo hayo unaanza kuyaona hata kabla ya kutia mguu kuingia pangoni. Mhifadhi Maburi baada ya kutoa maelezo ya utangulizi na kisha kuchukua zana ya kuingia nayo pangoni (tochi kubwa) alichukua fimbo kubwa iliyokuwa katika eneo lililotengwa maalumu kwa ajili ya kuanza ziara ya kutembelea eneo hilo.
"Mnaona hapa (akionyesha eneo la wazi juu ya lango hilo. Mnadhani panafanana na kitu gani?" Jibu halikuwa gumu kwani karibu watalii wote tuliokuwamo katika msafara ule tulibaini bila ya shaka kwamba ile ilikuwa kama ramani ya Bara la Afrika.
Akauliza tena, akigeukia upande wake wa kulia... "Na hapa mnaona kitu gani?" Pale kulikuwa na mwamba mkubwa ambao kwa mbele umechongwachongwa. Hapakuwa na jibu la moja kwa moja, wapo waliosema ni nyati, mbogo lakini hata kabla mhifadhi huyo hajatoa jibu, kundi kubwa likasema simba. Akasema naam, safari ya kuingia ndani ikaanza.
Licha ya kwamba kulikuwa na giza nene na kona nyingi, sehemu ile ya mwanzo ilikuwa na hali ya ubaridi, hali hiyo ilikuwa ikibadilikabadilika kadri tulivyokuwa tukifika katika eneo moja hadi jingine. Kuna maeneo mengine ambayo baadhi walitamani kurudi lakini hakuna aliyethubutu kufanya hivyo, kona zote zile na giza wangeanzia wapi!
Kuna sehemu tulilazimika kutambaa na kama ulikuwa wa mwisho na simu yako haina tochi ilikuwa burudani ya aina yake. Humo ndani kuna eneo linaloitwa Kilimanjaro, unapanda hadi kileleni lakini bila ya kutoka nje, ni kama ghorofani na kuna sehemu ambayo watalii hufanya sherehe mbalimbali wakiwa ndani, hapo kuna mwanga kwa mbali unaotokea katika tundu moja lililoko juu, hewa yake ni nzuri mithili ya kiyoyozi. Hakika panastahili.
Pembeni mwa eneo hilo kulikuwa na eneo ambalo mchongo wake unafanana na Kibla (Al-Kaaba) ya msikiti. Pembeni yake, alituonyesha michoro ambayo inafanana kama maandishi ya Kiarabu
Tulifika eneo jingine ambalo alimulika tochi yake kwa juu akatuonyesha alama nyingine... "Mnaona kule juu? Ile ni sanamu Sanamu ya Bikra Maria!" Watalii wengi walionekana kukubaliana naye moja kwa moja.
Lipo eneo tuliloona vitu kama ubani na udi ambalo tuluelezwa na mhifadhi kwamba ni eneo la kutambikia. Awali, alitueleza kwamba pango hilo tuliloingia linajulikana pia kama Pango la Mzimu wa Mabavu.
Sehemu nyingine tuliona nyayo za binadamu lakini zikiwa darini, kulikuwa pia na michongo mingine kama ya sanamu ya meli na miamba mingine inayoota baadhi ikiwa meupa na inayong'ara.
Ziara yetu katika pango hilo la mizimu ya mabavu ilihitimishwa kwa kupanda ndege. Mfifadhi yule alitutaka tuingie katika 'ndege' tayari kwa kuanza safari ya kwenda kusikojulikana. Lilikuwa ni eneo la kupanda ngazi sehemu yake ya kuingilia ilikuwa mithili ya milango ya ndege..." Mkisha ingia humu, kama rubani amelala msimwamshe..." alitania mhifadhi.
Hamad, baada ya kuingia ndani ya 'ndege' hiyo, tulijikuta tukiwa nje ya pango karibu kabisa na pale tulipoingilia. Wakati tukishangaa, mhifadhi Maburi alitokea kwa upande mwingine! Sote tukaangua kicheko cha furaha. Ilikuwa ziara ya nusu saa iliyojaa kila aina ya msisimko.
Lakini Maburi alitueleza jambo ambalo lilitushtua watalii tuliokuwapo pale, anasema eneo hilo la Mapango ya Amboni ambalo ukubwa wake ni zaidi ya hekta za mraba 250, halitumiki inavyostahili.
"Kuna pango jingine linalotumika. Linaitwa Pango la Jjinsia. humo kuna michoro ya maumbile yanayofanana na ya via za uzazi za binadamu yaani uume na uke."
Lakini Maburi anasema Amboni pana mapango zaidi ya 70 ingawa yanayotumika kwa shughuli za kitalii ni hayo mawili tu. Tulidhani pengine tatizo ni usalama pekee lakini anasema la hasha...
"Hapa tupo wahifadhi watatu tu. Hakuna waongozaji wa watalii kazi hiyo pia tunaifanya sisi. Mjini kuna kampuni za utalii lakini hawazitumii."
Ipo ile ya miaka ya 1940, inayosema kwamba kulikuwa na wazungu wawili, mke na mume walioingia na mbwa kinyume na masharti ili awalinde. Hawakurudi, walipotelea humo. Inadaiwa kwamba mbwa wao alipita chini kwa chini na kutokea Kilimanjaro!
Simulizi nyingine ni ile inayosema kwamba kuna njia katika mapango hayo inayotokea Mombasa. Hata hivyo, Maburi anasema simulizi zote hizo hazijathibitishwa kitaalamu... "Wataalamu waliwahi kufuatilia na baada ya mita tano hapakuwa na njia inayoendelea. Hadi sasa hatuwezi kusema kwamba simulizi hizo zina ukweli."
Lakini kuna mambo ya kusisimua katika mapango hayo, licha ya watalii wa ndani na nje kuyatembelea, wengine zaidi ya mara mbili, kila wakati wakifika hupata jipya na hata yale waliyoyaona yanakuwa kama mageni machoni mwao.
Miamba hiyo ina mambo! Kuna maeneo ambayo yamechongeka katika maumbo mbalimbali ambayo yanafanana au kufananishwa na maeneo ya kijiografia au maumbile ya mwanadamu, wanyama na masuala ya kiimani.
Kwa mfano, kuna eneo ambalo linafananishwa na Kibla, Sanamu ya Bikira Maria, Sanamu ya Mnara wa Uhuru (Liberty) wa Washington, Marekani.
Maeneo hayo unaanza kuyaona hata kabla ya kutia mguu kuingia pangoni. Mhifadhi Maburi baada ya kutoa maelezo ya utangulizi na kisha kuchukua zana ya kuingia nayo pangoni (tochi kubwa) alichukua fimbo kubwa iliyokuwa katika eneo lililotengwa maalumu kwa ajili ya kuanza ziara ya kutembelea eneo hilo.
"Mnaona hapa (akionyesha eneo la wazi juu ya lango hilo. Mnadhani panafanana na kitu gani?" Jibu halikuwa gumu kwani karibu watalii wote tuliokuwamo katika msafara ule tulibaini bila ya shaka kwamba ile ilikuwa kama ramani ya Bara la Afrika.
Akauliza tena, akigeukia upande wake wa kulia... "Na hapa mnaona kitu gani?" Pale kulikuwa na mwamba mkubwa ambao kwa mbele umechongwachongwa. Hapakuwa na jibu la moja kwa moja, wapo waliosema ni nyati, mbogo lakini hata kabla mhifadhi huyo hajatoa jibu, kundi kubwa likasema simba. Akasema naam, safari ya kuingia ndani ikaanza.
Licha ya kwamba kulikuwa na giza nene na kona nyingi, sehemu ile ya mwanzo ilikuwa na hali ya ubaridi, hali hiyo ilikuwa ikibadilikabadilika kadri tulivyokuwa tukifika katika eneo moja hadi jingine. Kuna maeneo mengine ambayo baadhi walitamani kurudi lakini hakuna aliyethubutu kufanya hivyo, kona zote zile na giza wangeanzia wapi!
Kuna sehemu tulilazimika kutambaa na kama ulikuwa wa mwisho na simu yako haina tochi ilikuwa burudani ya aina yake. Humo ndani kuna eneo linaloitwa Kilimanjaro, unapanda hadi kileleni lakini bila ya kutoka nje, ni kama ghorofani na kuna sehemu ambayo watalii hufanya sherehe mbalimbali wakiwa ndani, hapo kuna mwanga kwa mbali unaotokea katika tundu moja lililoko juu, hewa yake ni nzuri mithili ya kiyoyozi. Hakika panastahili.
Pembeni mwa eneo hilo kulikuwa na eneo ambalo mchongo wake unafanana na Kibla (Al-Kaaba) ya msikiti. Pembeni yake, alituonyesha michoro ambayo inafanana kama maandishi ya Kiarabu
Tulifika eneo jingine ambalo alimulika tochi yake kwa juu akatuonyesha alama nyingine... "Mnaona kule juu? Ile ni sanamu Sanamu ya Bikra Maria!" Watalii wengi walionekana kukubaliana naye moja kwa moja.
Lipo eneo tuliloona vitu kama ubani na udi ambalo tuluelezwa na mhifadhi kwamba ni eneo la kutambikia. Awali, alitueleza kwamba pango hilo tuliloingia linajulikana pia kama Pango la Mzimu wa Mabavu.
Sehemu nyingine tuliona nyayo za binadamu lakini zikiwa darini, kulikuwa pia na michongo mingine kama ya sanamu ya meli na miamba mingine inayoota baadhi ikiwa meupa na inayong'ara.
Ziara yetu katika pango hilo la mizimu ya mabavu ilihitimishwa kwa kupanda ndege. Mfifadhi yule alitutaka tuingie katika 'ndege' tayari kwa kuanza safari ya kwenda kusikojulikana. Lilikuwa ni eneo la kupanda ngazi sehemu yake ya kuingilia ilikuwa mithili ya milango ya ndege..." Mkisha ingia humu, kama rubani amelala msimwamshe..." alitania mhifadhi.
Hamad, baada ya kuingia ndani ya 'ndege' hiyo, tulijikuta tukiwa nje ya pango karibu kabisa na pale tulipoingilia. Wakati tukishangaa, mhifadhi Maburi alitokea kwa upande mwingine! Sote tukaangua kicheko cha furaha. Ilikuwa ziara ya nusu saa iliyojaa kila aina ya msisimko.
Lakini Maburi alitueleza jambo ambalo lilitushtua watalii tuliokuwapo pale, anasema eneo hilo la Mapango ya Amboni ambalo ukubwa wake ni zaidi ya hekta za mraba 250, halitumiki inavyostahili.
"Kuna pango jingine linalotumika. Linaitwa Pango la Jjinsia. humo kuna michoro ya maumbile yanayofanana na ya via za uzazi za binadamu yaani uume na uke."
Lakini Maburi anasema Amboni pana mapango zaidi ya 70 ingawa yanayotumika kwa shughuli za kitalii ni hayo mawili tu. Tulidhani pengine tatizo ni usalama pekee lakini anasema la hasha...
"Hapa tupo wahifadhi watatu tu. Hakuna waongozaji wa watalii kazi hiyo pia tunaifanya sisi. Mjini kuna kampuni za utalii lakini hawazitumii."
Kostadin Papic katoroka- Nchunga
MWENYEKITI wa klabu ya Yanga, Llyod Nchunga amesema aliyekuwa kocha wa timu hiyo Kostadin Papic ametoroka nchini bila kukabidhi baadhi ya ripoti ya taarifa za wachezaji.
Vyombo vya habari mbalimbali jana viliripoti kuwa uongozi wa Yanga ulimpa masharti matatu Papic na kwamba ulitaka atoe ufafanuzi wa baadhi ya mambo ndio aondoke.
Lakini badala yake saa nne usiku wa kuamkia jana, kocha huyo aliripotiwa kuondoka na Nchunga jana aliwaambia waandishi wa habari kuwa Papic alitoroka kwani yeye kama Mwenyekiti hakuwa na taarifa za kuondoka kwake licha ya kuwepo kwa madai kuwa kocha huyo alimuaga Makamu wake Davis Mosha.
Baadhi ya masharti ambayo uongozi wa Yanga ulimtaka Papic kutoa ufafanuzi kwa mfadhili wao Yusuf Manji ni kwanini aliitia hasara klabu kwa kumsajili mchezaji Keneth Asamoah na badala yake asiweze kuichezea timu hiyo, mchakato wa fedha za usajili wa wachezaji na pia kutoa maelezo ya fedha za usajili za kipa Ivan Knezevic Sh milioni 3.7.
Inadaiwa kuwa Papic alikopa Sh milioni nne kwa uongozi wa Yanga na ilipofika wakati wa kuzirudisha alisema kwamba atampa Knezevic lakini mpaka siku mbili kabla ya kocha huyo kutoroka kipa huyo alikuwa hajapewa fedha zake.
“Kuna ufisadi zaidi uliofanyika kwenye sakata la usajili kwa kuwa kuna baadhi ya wachezaji walioripotiwa kuwa wamepewa fedha za usajili Sh milioni 15 lakini wachezaji hao wamepewa sh milioni kumi,” alisema.
Alisema kuwa kwa sasa uongozi wa klabu hiyo unaendelea na hatua zake za kawaida za kufuatilia ukaguzi wa hesabu za klabu.
Akizungumzia hatua ambayo klabu inachukua kutafuta kocha, Nchunga alisema kuwa uongozi wake ulikuwa na mazungumzo na Sam Timbe ili kuangalia kama anaweza kupewa mikoba ya Papic.
Pia aliongeza kuwa makocha kutoka nchi mbalimbali walioomba kuinoa Yanga na tayari wametuma CV zao kwenye mtandao.
Makocha hao ni Roy Barreto wa Uingereza, Simeon Afremov wa Yugoslavia na Ivo Von wa Slovenia.
Wakati huohuo, Nchunga jana alimtangaza Mwesigwa Selestine kuwa Kaimu Katibu Mkuu wa klabu hiyo baada ya kujiuzulu kwa aliyekuwa Katibu Mkuu Lawrance Mwalusako.
Alisema uteuzi wa Mwesigwa ulifanyika juzi na kwamba Kaimu Katibu huyo ni mwanachama wa Yanga mwenye kadi namba 004010 na ana uhusiano na mitandao mingi duniani ijishugulishayo na mchezo wa soka ikiwa pamoja na kuendeleza soka la vijana.
Vyombo vya habari mbalimbali jana viliripoti kuwa uongozi wa Yanga ulimpa masharti matatu Papic na kwamba ulitaka atoe ufafanuzi wa baadhi ya mambo ndio aondoke.
Lakini badala yake saa nne usiku wa kuamkia jana, kocha huyo aliripotiwa kuondoka na Nchunga jana aliwaambia waandishi wa habari kuwa Papic alitoroka kwani yeye kama Mwenyekiti hakuwa na taarifa za kuondoka kwake licha ya kuwepo kwa madai kuwa kocha huyo alimuaga Makamu wake Davis Mosha.
Baadhi ya masharti ambayo uongozi wa Yanga ulimtaka Papic kutoa ufafanuzi kwa mfadhili wao Yusuf Manji ni kwanini aliitia hasara klabu kwa kumsajili mchezaji Keneth Asamoah na badala yake asiweze kuichezea timu hiyo, mchakato wa fedha za usajili wa wachezaji na pia kutoa maelezo ya fedha za usajili za kipa Ivan Knezevic Sh milioni 3.7.
Inadaiwa kuwa Papic alikopa Sh milioni nne kwa uongozi wa Yanga na ilipofika wakati wa kuzirudisha alisema kwamba atampa Knezevic lakini mpaka siku mbili kabla ya kocha huyo kutoroka kipa huyo alikuwa hajapewa fedha zake.
“Kuna ufisadi zaidi uliofanyika kwenye sakata la usajili kwa kuwa kuna baadhi ya wachezaji walioripotiwa kuwa wamepewa fedha za usajili Sh milioni 15 lakini wachezaji hao wamepewa sh milioni kumi,” alisema.
Alisema kuwa kwa sasa uongozi wa klabu hiyo unaendelea na hatua zake za kawaida za kufuatilia ukaguzi wa hesabu za klabu.
Akizungumzia hatua ambayo klabu inachukua kutafuta kocha, Nchunga alisema kuwa uongozi wake ulikuwa na mazungumzo na Sam Timbe ili kuangalia kama anaweza kupewa mikoba ya Papic.
Pia aliongeza kuwa makocha kutoka nchi mbalimbali walioomba kuinoa Yanga na tayari wametuma CV zao kwenye mtandao.
Makocha hao ni Roy Barreto wa Uingereza, Simeon Afremov wa Yugoslavia na Ivo Von wa Slovenia.
Wakati huohuo, Nchunga jana alimtangaza Mwesigwa Selestine kuwa Kaimu Katibu Mkuu wa klabu hiyo baada ya kujiuzulu kwa aliyekuwa Katibu Mkuu Lawrance Mwalusako.
Alisema uteuzi wa Mwesigwa ulifanyika juzi na kwamba Kaimu Katibu huyo ni mwanachama wa Yanga mwenye kadi namba 004010 na ana uhusiano na mitandao mingi duniani ijishugulishayo na mchezo wa soka ikiwa pamoja na kuendeleza soka la vijana.
YANGA HOI
Kipa wa timu ya Mtibwa, Shaban Kado (kushoto) akiokoa moja ya hatari iliyoelekezwa kwenye lango lake na mshambuliaji wa Yanga, Nurdin Bakari (kulia) huku beki wake Obadia Mungusa akiwa tayari kusaidia wakati wa mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara iliyofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Mtibwa ilishinda kwa goli 1-0. (Picha na Fadhili Akida).
TABASAMU
Rais Jakaya Kikwete (kulia) akisalimiana na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe wakati wa sherehe za Siku ya Sheria zilizoanyika Mahakama Kuu, Dar es Salaam. (Picha na Freddy Maro).
Wednesday, February 2, 2011
Yanga kumkosa Shungu, atakiwa Rayon
WAKATI mwenyekiti wa Yanga Lloyd Nchunga akidhibitisha kuwa Kocha wa zamani wa timu hiyo, Raoul Shungu ni miongozi mwa makocha 20 kutoka nje ya nchi waliomba kumridhi Mserbia Kostadin Papic mmiliki mpya wa timu ya Rayon Sports ya Rwanda Albert Rudatsimburwa amemtaka kocha huyo kuinoa timu hiyo.
Yanga imepokea jina la kocha huyo siku chache baada ya Rudatsimburwa kutangaza mikakati ya kumnasa kocha huyo kuanzia Januari 13.
Mmiliki huyo aliyesaini mkataba wa miaka saba na timu hiyo alitangaza mikakati hiyo huku akidai kuwa kocha huyo ndiye kocha mwenye viwango vya ubora kwa hivi sasa atakayeweza kuipatia timu hiyo mafanikio.
ìHakuna shaka kwamba Rayon Sport ni timu kubwa lakini kitu cha msingi kinachotazamwa kwa sasa ni kuona timu inaongozwa na wataalam waliobobea katika michezo na ndiyo maana nimeahidi kumrudisha kocha Shungu kwa sababu ni kocha mwenye viwango vya uboraî alisema mmiliki huyo katika mahojiano maalum na redio ya Contact FM ya nchini Rwanda.
Hata hivyo taarifa zaidi zinaeleza kuwa kocha huyo alitarajiwa kukutana na mmiliki huyo Ijumaa iliyopita kwa ajili ya mazungumzo zaidi juu ya mkataba wake mpya ndani ya timu hiyo kongwe katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati.
Hatua ya kutangazwa kwa Shungu ni baada ya Kosta Papic kubwaga manyanga kwa sababu mbalimbali na sasa timu hiyo iko chani ya kocha mteule, Fred Felix Minziro.
Hata hivyo, ilielezwa kuwa kocha huyo ni kati ya makocha waliokuwa na mpango wa kuajiriwa Yanga, mwingine aliyekuwa katika mpango huo ni kocha wa zamani wa SC Villa, Sam Timbe.
Katika hatua nyingine, Mwenyekiti wa Yanga, Lloyd Nchunga amemtaka Papic kuilipa klabu ya Yanga mshahara wa mwezi mmoja kwa vile alipotangaza kujiuzulu kwenye barua yake alitoa notisi ya siku 30.
Nchunga katika taarifa yake alisema, pamoja na kutoa notisi hiyo, alitakiwa kuendelea na kazi hadi hapo notisi hiyo itakapoisha na mechi ya Dedebit alitakiwa kukaa benchi lakini Papic hakufanya hivyo.
Wakati hayo yakiendela, Yanga leo itashuka dimbani kukabiliana na Mtibwa Sugar katika mpambano wa ligi kuu utakaofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Mchezo huo utakuwa ni jaribio la pili la kocha, Minziro 'Majeshi' baada ya kuachiwa mikoba na aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo, Mserbia Kostadin Papic ambaye hivi karibuni alitangaza kuachia ngazi kukinoa kikosi hicho.
Awali Minziro aliiongoza Yanga kupata sare ya mabao 4-4 dhidi ya Dedebit ya Ethiopia katika mpambano wa Kombe la Shirikisho uliofanyika wiki iliyopita kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mechi ya leo inazikutanisha timu hizi zikiwa zimetofautiana kwa pointi nane katika msimamo wa ligi ambazo ni 31 za Yanga zinazoifanya iongoze ligi hiyo na 23 za Mtibwa iliyoshikilia nafasi ya nne.
Pamoja na yote hayo historia inabashiri tutarajie mchuano mkali hasa kutokana na kufungana bao 1-1 katika mtanange wa mzunguko wa kwanza uliofanyika mjini Morogoro licha ya kuwa Mtibwa ilifungwa mabao 2-1 katika Kombe la Mapinduzi.
Akizungumzia mechi hiyo Minziro ambaye alijiunga na Yanga kama kocha msaidizi akitokea Ruvu Shooting alisema: "Angalau sasa ninaweza kusema nimewafahamu wachezaji wangu licha ya kukaa nao kwa kipindi kifupi.
"Nimejaribu kuangalia upungufu na mazuri ya wachezaji wangu kupitia mazoezi ya wiki mbili na katika mechi dhidi ya Dedebit, stamina ni kati ya huo upungufu tumefanya mazoezi sana hivyo sina shaka tutaipiga Mtibwa."
Naye kocha wa Mtibwa Mkenya Tom Olaba aliliambia Mwananchi jana kuwa haoni sababu ya timu yake kushindwa kuondoka na pointi tatu leo akisema ameifuatilia Yanga kugundua ina kasoro nyingi.
"Ninaifahamu Yanga sielewi ni kwanini tulishindwa kuwafunga wakati ule lakini hawatishi sana. katika sehemu ya ulinzi kinacho wasaidia ni kwamba wanakipa mzuri ingawa si sababu ya msingi ya kutunyima ushindi...nina uhakika safari hii tutawafunga," alisema Olaba.
Baadhi ya nyota wanaotarajia kuchungwa leo ni pamoja na washambuliaji Jerison Tegete, Davis Mwape na Iddi Mbaga kwa upande wa Yanga wakati Mtibwa ni Omari Matuta, Salum Machaku na Shaanan Nditi.
Yanga imepokea jina la kocha huyo siku chache baada ya Rudatsimburwa kutangaza mikakati ya kumnasa kocha huyo kuanzia Januari 13.
Mmiliki huyo aliyesaini mkataba wa miaka saba na timu hiyo alitangaza mikakati hiyo huku akidai kuwa kocha huyo ndiye kocha mwenye viwango vya ubora kwa hivi sasa atakayeweza kuipatia timu hiyo mafanikio.
ìHakuna shaka kwamba Rayon Sport ni timu kubwa lakini kitu cha msingi kinachotazamwa kwa sasa ni kuona timu inaongozwa na wataalam waliobobea katika michezo na ndiyo maana nimeahidi kumrudisha kocha Shungu kwa sababu ni kocha mwenye viwango vya uboraî alisema mmiliki huyo katika mahojiano maalum na redio ya Contact FM ya nchini Rwanda.
Hata hivyo taarifa zaidi zinaeleza kuwa kocha huyo alitarajiwa kukutana na mmiliki huyo Ijumaa iliyopita kwa ajili ya mazungumzo zaidi juu ya mkataba wake mpya ndani ya timu hiyo kongwe katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati.
Hatua ya kutangazwa kwa Shungu ni baada ya Kosta Papic kubwaga manyanga kwa sababu mbalimbali na sasa timu hiyo iko chani ya kocha mteule, Fred Felix Minziro.
Hata hivyo, ilielezwa kuwa kocha huyo ni kati ya makocha waliokuwa na mpango wa kuajiriwa Yanga, mwingine aliyekuwa katika mpango huo ni kocha wa zamani wa SC Villa, Sam Timbe.
Katika hatua nyingine, Mwenyekiti wa Yanga, Lloyd Nchunga amemtaka Papic kuilipa klabu ya Yanga mshahara wa mwezi mmoja kwa vile alipotangaza kujiuzulu kwenye barua yake alitoa notisi ya siku 30.
Nchunga katika taarifa yake alisema, pamoja na kutoa notisi hiyo, alitakiwa kuendelea na kazi hadi hapo notisi hiyo itakapoisha na mechi ya Dedebit alitakiwa kukaa benchi lakini Papic hakufanya hivyo.
Wakati hayo yakiendela, Yanga leo itashuka dimbani kukabiliana na Mtibwa Sugar katika mpambano wa ligi kuu utakaofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Mchezo huo utakuwa ni jaribio la pili la kocha, Minziro 'Majeshi' baada ya kuachiwa mikoba na aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo, Mserbia Kostadin Papic ambaye hivi karibuni alitangaza kuachia ngazi kukinoa kikosi hicho.
Awali Minziro aliiongoza Yanga kupata sare ya mabao 4-4 dhidi ya Dedebit ya Ethiopia katika mpambano wa Kombe la Shirikisho uliofanyika wiki iliyopita kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mechi ya leo inazikutanisha timu hizi zikiwa zimetofautiana kwa pointi nane katika msimamo wa ligi ambazo ni 31 za Yanga zinazoifanya iongoze ligi hiyo na 23 za Mtibwa iliyoshikilia nafasi ya nne.
Pamoja na yote hayo historia inabashiri tutarajie mchuano mkali hasa kutokana na kufungana bao 1-1 katika mtanange wa mzunguko wa kwanza uliofanyika mjini Morogoro licha ya kuwa Mtibwa ilifungwa mabao 2-1 katika Kombe la Mapinduzi.
Akizungumzia mechi hiyo Minziro ambaye alijiunga na Yanga kama kocha msaidizi akitokea Ruvu Shooting alisema: "Angalau sasa ninaweza kusema nimewafahamu wachezaji wangu licha ya kukaa nao kwa kipindi kifupi.
"Nimejaribu kuangalia upungufu na mazuri ya wachezaji wangu kupitia mazoezi ya wiki mbili na katika mechi dhidi ya Dedebit, stamina ni kati ya huo upungufu tumefanya mazoezi sana hivyo sina shaka tutaipiga Mtibwa."
Naye kocha wa Mtibwa Mkenya Tom Olaba aliliambia Mwananchi jana kuwa haoni sababu ya timu yake kushindwa kuondoka na pointi tatu leo akisema ameifuatilia Yanga kugundua ina kasoro nyingi.
"Ninaifahamu Yanga sielewi ni kwanini tulishindwa kuwafunga wakati ule lakini hawatishi sana. katika sehemu ya ulinzi kinacho wasaidia ni kwamba wanakipa mzuri ingawa si sababu ya msingi ya kutunyima ushindi...nina uhakika safari hii tutawafunga," alisema Olaba.
Baadhi ya nyota wanaotarajia kuchungwa leo ni pamoja na washambuliaji Jerison Tegete, Davis Mwape na Iddi Mbaga kwa upande wa Yanga wakati Mtibwa ni Omari Matuta, Salum Machaku na Shaanan Nditi.
Tume kuchunguza kutupwa maiti za vichanga Mwananyamala
KUFUATIA vifo vya vichanga 10 vilivyokutwa vimefukiwa katika shimo jirani na Hospitali ya Mwananyamala, jijini Dar es Salaam, jopo la wataalam mbalimbali limeundwa kwa ajili ya kuchunguza tukio hilo.
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana alisema Serikali imeunda tume ya watu watano (5) kufanya uchunguzi wa chanzo cha tukio hilo ambayo itakamilisha uchunguzi huo ndani ya siku saba.
Alisema juzi jioni alipopata taarifa hizo alifika katika eneo la tukio na kukuta vichanga kumi vikiwa vimefukiwa katika shimo na kwamba walizaliwa wakiwa wamekufa.
“Ni kweli taarifa za awali tulizozipata ni kwamba watoto saba walikuwa hawajafikia hatua ya kuzaliwa na wengine watatu walikuwa wamefikisha wakati wa kuzaliwa na sasa tayari uchunguzi unaendelea, kubaini aliyesababisha kufukiwa kwa watoto hao katika shimo,”alisema Rugimbana.
“Hata kama viumbe hivyo vimekufa, ni lazima taratibu zifuatwe sio kufanya kitendo kile. Kweli kinasikitisha, kwa hiyo uchunguzi unaendelea muda sio mrefu jamii itapata majibu sahihi, tunaiomba jamii ivumilie wakati uchunguzi ukiendelea,”alisema Rugimbana.
Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, Raphael Nduguru alisema kwa mazingira ya tukio hilo lazima uongozi wa Halmashauri ujiridhishe kwa kufanya uchunguzi wa kutosha na kubaini chanzo cha tukio hilo na kwamba kama kuna uzembe ulifanywa na baadhi ya watumishi wa hospitali ya Mwananyamala watachukuliwa hatua za kisheria.
“Kwa kawaida kuna taratibu za kumzika mtu mara baada ya kufariki sio kama ilivyotokea, hili ni tukio la kusikitisha kwa hiyo tunawaomba wananchi wawe na subira ili uchunguzi ufanyike na ukweli utajulikana,”alisema Ndunguru.
Hata hivyo, tayari wanaharakati wamepinga tume hiyo wakitaka isishirikishe mfanyakazi yeyote wa Manispaa ya Kinondoni.
Mkurugenzi wa Shirika lisilo la Kiserikali linalojishughulisha na utawala bora na afya la Sikika, Irenei Kirio alisema kuwa tume hiyo ni batili na kwamba isithubutu kufanya kazi yoyote.
"Tume iliyoundwa ni kiini macho kwa sababu ni watendaji wa manispaa hivyo watakuwa wanajichunguza wenyewe, ni walewale. Tunaomba tume huru isiyomhusisha mtendaji hata mmoja wa manispaa hiyo au hospitali ya Mwananyamala,"alisema Kirio.
Akizungumza katika mkutano uliowahusisha viongozi wa Manispaa ya Kinondoni na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi Kinondoni, Charles Kenyela alisema mtu mmoja ametiwa mbaroni akidaiwa kuhusika na tukio hilo, huku uchunguzi ukiendelea kubaini chanzo chake.
Alisema kuwa kwa sasa upelelezi unaendelea kubaini watu wengine waliohusika katika tukio hilo.
“Kwa sasa tayari kuna mtu mmoja amekamatwa, anaendelea kuhojiwa na polisi wakati upelelezi wa kuwakamata wengine ukiendelea na baada ya hapo tutatoa taarifa za chanzo cha tukio hilo,”alisema Kenyela.
Alisema kuwa katika hatua ya uchunguzi zipo taarifa za wote waliojifungua watoto hao, ambapo alisema wataitwa na tume hiyo ili kuhojiwa na kujua ukweli.
"Kwa bahati nzuri anuani za wale wazazi wa vile vichanga tunazo, kwa hiyo tutawatafuta na watahojiwa ili kupata ukweli wa mambo yalivyokuwa," alisema Kenyela.
Hata hivyo, malumbano yalizuka baina ya wanahabari walioshuhudia tukio hilo awali na uongozi wa manispaa kuhusu watoto hao kufikia au kutofikia hatua ya kuzaliwa.
Kuzuka kwa malumbano hayo kulitokana na Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mwananyamala, Dk Sofinias Ngonyani kudai kuwa watoto saba kati ya kumi waliofukiwa walikuwa hawajafikia muda wa kuzaliwa bali mimba zilizotoka (abortion) na watatu pekee ndio waliofikia hatua ya kuzaliwa.
Kauli hiyo ilipingwa vikali na wanahabari walioshuhudia tukio hilo juzi na jana kuhudhuria mkutano huo wakisema mganga huyo anajaribu kuuhadaa umma.
“Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya kati ya waandishi walioshuhudia tukio hilo na kupiga picha, mimi ni miongoni mwa hao. Kama kuna ubishi tunaweza kuwaonyesha picha za watoto hao ili kupata uhakika wa suala hili maana walikuwa wamefikia muda wa kuzaliwa,” alisema mwanahabari Sam Mahela wa ITV mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni.
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana alisema Serikali imeunda tume ya watu watano (5) kufanya uchunguzi wa chanzo cha tukio hilo ambayo itakamilisha uchunguzi huo ndani ya siku saba.
Alisema juzi jioni alipopata taarifa hizo alifika katika eneo la tukio na kukuta vichanga kumi vikiwa vimefukiwa katika shimo na kwamba walizaliwa wakiwa wamekufa.
“Ni kweli taarifa za awali tulizozipata ni kwamba watoto saba walikuwa hawajafikia hatua ya kuzaliwa na wengine watatu walikuwa wamefikisha wakati wa kuzaliwa na sasa tayari uchunguzi unaendelea, kubaini aliyesababisha kufukiwa kwa watoto hao katika shimo,”alisema Rugimbana.
“Hata kama viumbe hivyo vimekufa, ni lazima taratibu zifuatwe sio kufanya kitendo kile. Kweli kinasikitisha, kwa hiyo uchunguzi unaendelea muda sio mrefu jamii itapata majibu sahihi, tunaiomba jamii ivumilie wakati uchunguzi ukiendelea,”alisema Rugimbana.
Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, Raphael Nduguru alisema kwa mazingira ya tukio hilo lazima uongozi wa Halmashauri ujiridhishe kwa kufanya uchunguzi wa kutosha na kubaini chanzo cha tukio hilo na kwamba kama kuna uzembe ulifanywa na baadhi ya watumishi wa hospitali ya Mwananyamala watachukuliwa hatua za kisheria.
“Kwa kawaida kuna taratibu za kumzika mtu mara baada ya kufariki sio kama ilivyotokea, hili ni tukio la kusikitisha kwa hiyo tunawaomba wananchi wawe na subira ili uchunguzi ufanyike na ukweli utajulikana,”alisema Ndunguru.
Hata hivyo, tayari wanaharakati wamepinga tume hiyo wakitaka isishirikishe mfanyakazi yeyote wa Manispaa ya Kinondoni.
Mkurugenzi wa Shirika lisilo la Kiserikali linalojishughulisha na utawala bora na afya la Sikika, Irenei Kirio alisema kuwa tume hiyo ni batili na kwamba isithubutu kufanya kazi yoyote.
"Tume iliyoundwa ni kiini macho kwa sababu ni watendaji wa manispaa hivyo watakuwa wanajichunguza wenyewe, ni walewale. Tunaomba tume huru isiyomhusisha mtendaji hata mmoja wa manispaa hiyo au hospitali ya Mwananyamala,"alisema Kirio.
Akizungumza katika mkutano uliowahusisha viongozi wa Manispaa ya Kinondoni na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi Kinondoni, Charles Kenyela alisema mtu mmoja ametiwa mbaroni akidaiwa kuhusika na tukio hilo, huku uchunguzi ukiendelea kubaini chanzo chake.
Alisema kuwa kwa sasa upelelezi unaendelea kubaini watu wengine waliohusika katika tukio hilo.
“Kwa sasa tayari kuna mtu mmoja amekamatwa, anaendelea kuhojiwa na polisi wakati upelelezi wa kuwakamata wengine ukiendelea na baada ya hapo tutatoa taarifa za chanzo cha tukio hilo,”alisema Kenyela.
Alisema kuwa katika hatua ya uchunguzi zipo taarifa za wote waliojifungua watoto hao, ambapo alisema wataitwa na tume hiyo ili kuhojiwa na kujua ukweli.
"Kwa bahati nzuri anuani za wale wazazi wa vile vichanga tunazo, kwa hiyo tutawatafuta na watahojiwa ili kupata ukweli wa mambo yalivyokuwa," alisema Kenyela.
Hata hivyo, malumbano yalizuka baina ya wanahabari walioshuhudia tukio hilo awali na uongozi wa manispaa kuhusu watoto hao kufikia au kutofikia hatua ya kuzaliwa.
Kuzuka kwa malumbano hayo kulitokana na Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mwananyamala, Dk Sofinias Ngonyani kudai kuwa watoto saba kati ya kumi waliofukiwa walikuwa hawajafikia muda wa kuzaliwa bali mimba zilizotoka (abortion) na watatu pekee ndio waliofikia hatua ya kuzaliwa.
Kauli hiyo ilipingwa vikali na wanahabari walioshuhudia tukio hilo juzi na jana kuhudhuria mkutano huo wakisema mganga huyo anajaribu kuuhadaa umma.
“Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya kati ya waandishi walioshuhudia tukio hilo na kupiga picha, mimi ni miongoni mwa hao. Kama kuna ubishi tunaweza kuwaonyesha picha za watoto hao ili kupata uhakika wa suala hili maana walikuwa wamefikia muda wa kuzaliwa,” alisema mwanahabari Sam Mahela wa ITV mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni.
Tuesday, February 1, 2011
Ulinzi mkali hospitali alipo Mandela
![]() |
| Nelson Mandela na mkewe Graca Machel |
Mandela alilazwa hospitalini siku ya Jumatano.
Polisi walishika doria wakati msongamano wa magari ukiongezeka kwenye jengo lililoko mjini Johannesburg na huku waandishi wa habari wakiendelea kumiminika nje.
Hata hivyo chama kinachotawala cha ANC kimetoa wito kwa raia wa Afrika Kusini kuwa watulivu.
Watoto wa shule wamepeleka ujumbe nje ya hospitali ya Milpark wakimtakia kila la heri.
Kiongozi huyo mashuhuri anayejulikana na raia wengi wa Afrika Kusini kwa jina jingine la Madiba, ameonekana akidhoofika kiafya anapojitokeza kwa umma.
Hata hivyo kiongozi huyo tangu ajiuzulu kutoka siasa mwaka wa 2004, hajakuwa akitokea hadharani sana.
Mara ya mwisho kuonekana hadharani ilikuwa kwenye hafla ya kufunga mashindano ya Kombe la Dunia, mwezi Julai mwaka jana.
Marafiki wake wa karibu wanaonya kuwa afya ya Mandela imekuwa ikizorota kwa kasi katika kipindi cha miezi michache iliyopita.
Hali yake ya afya imekuwa kivutio kikubwa kwa wanahabari na sasa polisi wanachunguza magari yanayoingia kwenye hospitali hiyo kuhakikisha kwamba hakuna waandishi.
Mkewe, Graca Machel pamoja na watu wengine wa familia yake walionekana wakiingia kwenye hospitali hiyo Jumatano usiku.
Msemaji wa chama cha ANC amesisitiza kuwa Mandela, mwenye umri wa miaka 92 si kijana tena na hivyo atapatwa na maradhi yanayoambatana na umri wake lakini akaomba watu kutokuwa na hofu yoyote.
Hali ya wasiwasi yatanda Misri
Ndege mbili za kivita na helikopta ya kijeshi zimeranda katika anga katika eneo la wazi wa Tahrir, mahala ambapo waandamanaji wengi wamekusanyika.
Msururu wa vifaru uliwasili katika eneo hilo, lakini ukazuiwa na waandamanaji.
Wakati huohuo, waziri wa mambo ya nje wa Marekani Hillary Clinton ametoa wito wa kuwepo na "mabadiliko ya utawala yenye utaratibu" nchini Misri.
Bi Clinton ameliambia shirika la habari la ABC kuwa Marekani inataka kuona mabadiliko ambayo yataleta serikali ya kidemokrasia.
"Tunataka kuona uhuru, hatutaki kuona ghasia zinazofanywa na vyombo vya usalama," amesema Clinton.
Waandamanaji hao wanakiuka amri ya kutotembea usiku iliyowekwa.
Mwandishi wa BBC Jeremy Bowen aliyepo kwenye eneo la Tahrir anasema kuna hali ya kutojali baina ya waandamanaji, ambao wanalituhumu jeshi kwa kujaribu kuwatisha.
Kuwasili kwa msururu wa vifaru na milio ya ndege za kivita angani kumezusha hali ya wasiwasi miongoni mwa maelfu ya waandamanaji.
Mapema, licha ya kuwepo kwa magari ya kijeshi, waandamanaji walionekana kama wakiwa na uhuru wakuranda katika eneo la kati la jiji, huku askari wa kuzuia ghasia ambao wamekuwa wakipambana na waandamanaji wakiwa hawaonekani.
Katika wakati mmoja, mwanajeshi mmoja alionekana kubebwa na waandamanaji waliokuwa wakishangilia.
Polisi ambao wamekuwa wakihusika zaidi katika ghasia na mapigano na waandamanaji katika siku za hivi karibuni, hivi sasa hawaonekani tena mitaani.
Mapigano kati ya waandamanaji na vyombo vya dola, hasa polisi wa kuzuia ghasia, yanadaia kusababisha vifo vya watu wasiopungua 100 nchini Misri, tangu kuanza kwa harakati hizi, siku ya Jumanne. Maelfu ya watu wamejeruhiwa baada ya ghasia kuzuka na kufika hadi katika miji ya Cairo, Suez na Alexandria.
Wakati huohuo, matangazo ya shirika la habari la al-Jazeera kupitia mitambo ya satelaiti ya Misri yamesitishwa. Serikali ya Misri mapema iliamrisha shirika hilo la Kiarabu ambalo limekuwa likitangaza maandamanano hayo, kufunga shughuli zake nchini humo.
Msururu wa vifaru uliwasili katika eneo hilo, lakini ukazuiwa na waandamanaji.
Wakati huohuo, waziri wa mambo ya nje wa Marekani Hillary Clinton ametoa wito wa kuwepo na "mabadiliko ya utawala yenye utaratibu" nchini Misri.
Bi Clinton ameliambia shirika la habari la ABC kuwa Marekani inataka kuona mabadiliko ambayo yataleta serikali ya kidemokrasia.
"Tunataka kuona uhuru, hatutaki kuona ghasia zinazofanywa na vyombo vya usalama," amesema Clinton.
Waandamanaji hao wanakiuka amri ya kutotembea usiku iliyowekwa.
Mwandishi wa BBC Jeremy Bowen aliyepo kwenye eneo la Tahrir anasema kuna hali ya kutojali baina ya waandamanaji, ambao wanalituhumu jeshi kwa kujaribu kuwatisha.
Kuwasili kwa msururu wa vifaru na milio ya ndege za kivita angani kumezusha hali ya wasiwasi miongoni mwa maelfu ya waandamanaji.
Mapema, licha ya kuwepo kwa magari ya kijeshi, waandamanaji walionekana kama wakiwa na uhuru wakuranda katika eneo la kati la jiji, huku askari wa kuzuia ghasia ambao wamekuwa wakipambana na waandamanaji wakiwa hawaonekani.
Katika wakati mmoja, mwanajeshi mmoja alionekana kubebwa na waandamanaji waliokuwa wakishangilia.
Polisi ambao wamekuwa wakihusika zaidi katika ghasia na mapigano na waandamanaji katika siku za hivi karibuni, hivi sasa hawaonekani tena mitaani.
Mapigano kati ya waandamanaji na vyombo vya dola, hasa polisi wa kuzuia ghasia, yanadaia kusababisha vifo vya watu wasiopungua 100 nchini Misri, tangu kuanza kwa harakati hizi, siku ya Jumanne. Maelfu ya watu wamejeruhiwa baada ya ghasia kuzuka na kufika hadi katika miji ya Cairo, Suez na Alexandria.
Wakati huohuo, matangazo ya shirika la habari la al-Jazeera kupitia mitambo ya satelaiti ya Misri yamesitishwa. Serikali ya Misri mapema iliamrisha shirika hilo la Kiarabu ambalo limekuwa likitangaza maandamanano hayo, kufunga shughuli zake nchini humo.
Magufuli aibua ufisadi wa Sh5 bilioni
WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Pombe Magufuli amefichua ufisadi wa Sh5 bilioni uliotaka kufanywa katika manispaa tatu za jijini Dar es Salaam kwenye ulipaji wa fidia za ubomoaji wa nyumba kwa ajili ya kupisha ujenzi wa barabara.
Mbali na kufichua ufisadi huo jana, Magufuli ameagiza jengo la Wakala wa Barabara (Tanroads) lililopo ndani ya Kituo cha Daladala cha Ubungo, libomolewe ndani ya siku tano kuanzia jana kwa kuwa lipo ndani ya hifadhi ya kituo cha mabasi yaendayo kasi.
Dk Magufuli aligundua uozo huo na kutoa maagizo ya utekelezaji jana katika ziara yake ya kutembelea mradi wa ujenzi wa barabara kwa ajili ya kupunguza msongamano wa magari jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Dk Magufuli, majengo ya ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam na Mkuu wa Wilaya ya Ilala jijini humo, nayo yapo ndani ya hifadhi ya barabara jambo ambalo ni kinyume na Sheria ya Barabara Namba 167 ya mwaka 1967.
Akizungumza kabla ya kuanza ziara hiyo, Dk Magufuli alisema kuwa Serikali haikuridhika na tathimini ya kwanza iliyofanywa na wathamini kutoka Manispaa za Kinondoni, Ilala na Temeke na kuthibitishwa na Mthamini Mkuu wa Serikali.
“Gharama za tathmini hiyo ilikuwa Sh27.7 bilioni kwa mali na nyumba 1,487. Lakini kabla ya kulipa, wizara iliona vyema kujiridhisha kwa kutembelea eneo la tathimini husika na kugundua mapungufu kadhaa,” alisema Magufuli na kuongeza:
“Mapungufu hayo ni pamoja na kurukwa kwa baadhi ya mali na nyumba pamoja na gharama za nyumba zenye sifa sawa kutofautiana kutoka manispaa moja na nyingine.”
Baada ya kugundua mapungufu hayo, Dk Magufuli alisema Wizara ilimtafuta mthamini wa kujitegemea ‘Independent Valuer’ ili afanye uhakiki na kurudia uthamini pale ilipohitajika kwa maslahi ya taifa.
"Unajua ilikuwaje? Nyumba zipatazo 61 zenye thamani ya Sh 239,781,542 hazikuonekana, kati ya hizo nyumba 56 zipo katika eneo la barabara ya Jet Corner-Vituka-Davis Corner na nyumba tano ziko eneo la kati ya stendi ya mabasi ya Ubungo na Kigogo,” alisema Magufuli.
Alisema kuwa baada ya tathimini mpya kufanywa, gharama za nyumba zote ni Sh 22,710,003,114, tofauti na uhakiki uliofanywa na manispaa hizi tatu, uhakiki wa independent valuer umefanya Serikali iokoe Sh5 bilioni.
Alisema kuwa baada ya matokeo hayo, wizara iliamua kukamilisha tathimini ya nyumba 215 zilizokuwa zimebaki katika mradi ambazo zimethaminiwa na kuwa Sh 2,638,726,633 na kwamba hatua hiyo ilifanya tathimini yote kuwa na nyumba 1580 kwa gharama ya Sh 25,348,729,752.
“Tathimini hii imesainiwa na wahusika wote tayari kwa malipo kwa wale tu wanaostahili kulipwa kwa mujibu wa sheria ya barabara namba 13 ya 2007. Wanaostahili kulipwa wataanza kulipwa keshokutwa (Alhamisi), waje na vitambulisho vyao, picha zao tunazo hivyo wasijaribu kufanya uhuni,’ alisema Magufuli
Aliongeza, “ Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, wakuu wa wilaya na wakurugenzi, kuweni makini sana na hawa maofisa wa ardhi wa wilaya, wanaweza kuitia Serikali gharama zisizostahili, hizi Sh5 bilioni si zinajenga barabara nyingine.”
Alisema kuwa majina ya wamiliki hao hewa wa nyumba 61 atayakabidhi kwenye mamlaka husika ili wachukuliwe hatua kwa kukiuka taratibu kwa kuwa wamesababisha ujenzi wa barabara hiyo kuchelewa na kuitia Serikali hasara.
Magufuli alimweleza kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiq kuwa manispaa za jijini Dar es Salaam zina watendaji wabaya na kumtaka kuwashughulikia.
“Afisa ardhi gani anagawa viwanja katika maeneo ya barabara?, tuwachukulie hatua na ikibidi tuwaweke ndani. Wanatuharibia halafu wanakuwa wa kwanza katika vikao vyetu, hawa ndio wanaichonganisha Serikali na wananchi,” alisema Magufuli.
Akitoa ufafanuzi wa watu wanaostahili kulipwa katika upanuzi wa barabara inayoanzia Stendi ya Mabasi ya Ubungo mpaka Jengo la Klabu ya Yanga lililopo Ilala, Magufuli alisema kuwa waliojenga nyumba zao kuanzia Mabibo Mwisho mpaka Ilala Mchikichini, hawatalipwa.
“Eneo la Klabu ya Yanga mpaka Ilala Mchikichini kabla ya kuvuka daraja, waliojenga nyumba pembeni ya barabara hii watalipwa fidia kwa kuwa eneo hilo halipo katika sheria ya 167 ya mwaka 1967 na pia halipo katika sheria ya barabara kifungu cha 13ya mwaka 2007,” alisema Magufuli.
Akiwa anapita katika barabara hiyo na kusimamisha magari huku akiwaeleza wananchi kuhama maeneo hayo, Magufuli alisema wengine watakaolipwa katika upanuzi wa barabara hiyo, ni wale waliojenga nyumba zao kuanzia Ubungo Kisiwani hadi Mabibo Ward na kwamba nyumba 201 ndio zitakazolipwa. Alisema mradi huo utagharimu Sh 4,429,336,710.
“Nyumba zilizojengwa katika eneo la barabara ambazo zipo, Mbuyuni, Mabibo Farasi, Mabibo Matokeo, Mburahati Kisiwani, Kigogo Mkwajuni na Kigogo Kati, hazitalipwa kwa kuwa eneo zilizopo ni kwenye Highway Ordinance chini ya Sheria namba 167, na pia zipo katika Sheria ya Barabara Namba 13 ya mwaka 2007,” alisema Magufuli.
Mbali na kutembelea barabara hiyo, Magufuli pia alikagua ujenzi wa barabara ya Jet Corner - Yombo Vituka- Davis Corner na kusema kuwa mradi huo utagharimu Sh 11,989,526,692. Alisema wananchi wote waliojenga pembezoni mwa barabara hiyo, watalipwa.
“Barabara hii ina urefu wa kilomita 10.3. Hawa wote watalipwa isipokuwa katika maeneo ambayo kulifanyika ulipaji kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege, ujenzi wa Daraja la Mwinyi, nyumba zipo 766,” alisema
Aliongeza, “Nyumba 149 zilizopo maeneo ya Kiwalani Kigilagila na Nyambwela bado zinafanyiwa uhakiki kwa kuwa pia zilihusika katika ulipaji wa fidia wa mradi wa Jet-Lumo miaka ya nyuma, uhakiki zaidi unahitajika.”
Magufuli ambaye alifanya mkutano na kuzungumza na wananchi wa Yombo mara baada ya kuikagua barabara hiyo, alisema kuwa barabara hizo ni kubwa hivyo hazitawekewa matuta bali kutakuwa na alama za barabarani.
Alisema kuwa wananchi watakaochelewa kubomoa nyumba zao zitabomolewa na Serikali na hawataambulia chochote kwa kuwa kila kitu kitachukuliwa na Serikali kwa kuwa nyumba hizo zitakuwa zimeshalipiwa fidia na Serikali.
Alisema kuwa Serikali itatumia sh 17,973,091,427 kwa kulipa fidia.
“Kama nyumba yako imeingia nusu ndani ya eneo la barabara, itabomolewa hiyo nusu na wewe utalipwa kulingana na ulivyobomolewa, hatuwezi kulipa gharama ya nyumba nzima wakati umebomolewa nusu,” alisisitiza.
Mbali na kufichua ufisadi huo jana, Magufuli ameagiza jengo la Wakala wa Barabara (Tanroads) lililopo ndani ya Kituo cha Daladala cha Ubungo, libomolewe ndani ya siku tano kuanzia jana kwa kuwa lipo ndani ya hifadhi ya kituo cha mabasi yaendayo kasi.
Dk Magufuli aligundua uozo huo na kutoa maagizo ya utekelezaji jana katika ziara yake ya kutembelea mradi wa ujenzi wa barabara kwa ajili ya kupunguza msongamano wa magari jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Dk Magufuli, majengo ya ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam na Mkuu wa Wilaya ya Ilala jijini humo, nayo yapo ndani ya hifadhi ya barabara jambo ambalo ni kinyume na Sheria ya Barabara Namba 167 ya mwaka 1967.
Akizungumza kabla ya kuanza ziara hiyo, Dk Magufuli alisema kuwa Serikali haikuridhika na tathimini ya kwanza iliyofanywa na wathamini kutoka Manispaa za Kinondoni, Ilala na Temeke na kuthibitishwa na Mthamini Mkuu wa Serikali.
“Gharama za tathmini hiyo ilikuwa Sh27.7 bilioni kwa mali na nyumba 1,487. Lakini kabla ya kulipa, wizara iliona vyema kujiridhisha kwa kutembelea eneo la tathimini husika na kugundua mapungufu kadhaa,” alisema Magufuli na kuongeza:
“Mapungufu hayo ni pamoja na kurukwa kwa baadhi ya mali na nyumba pamoja na gharama za nyumba zenye sifa sawa kutofautiana kutoka manispaa moja na nyingine.”
Baada ya kugundua mapungufu hayo, Dk Magufuli alisema Wizara ilimtafuta mthamini wa kujitegemea ‘Independent Valuer’ ili afanye uhakiki na kurudia uthamini pale ilipohitajika kwa maslahi ya taifa.
"Unajua ilikuwaje? Nyumba zipatazo 61 zenye thamani ya Sh 239,781,542 hazikuonekana, kati ya hizo nyumba 56 zipo katika eneo la barabara ya Jet Corner-Vituka-Davis Corner na nyumba tano ziko eneo la kati ya stendi ya mabasi ya Ubungo na Kigogo,” alisema Magufuli.
Alisema kuwa baada ya tathimini mpya kufanywa, gharama za nyumba zote ni Sh 22,710,003,114, tofauti na uhakiki uliofanywa na manispaa hizi tatu, uhakiki wa independent valuer umefanya Serikali iokoe Sh5 bilioni.
Alisema kuwa baada ya matokeo hayo, wizara iliamua kukamilisha tathimini ya nyumba 215 zilizokuwa zimebaki katika mradi ambazo zimethaminiwa na kuwa Sh 2,638,726,633 na kwamba hatua hiyo ilifanya tathimini yote kuwa na nyumba 1580 kwa gharama ya Sh 25,348,729,752.
“Tathimini hii imesainiwa na wahusika wote tayari kwa malipo kwa wale tu wanaostahili kulipwa kwa mujibu wa sheria ya barabara namba 13 ya 2007. Wanaostahili kulipwa wataanza kulipwa keshokutwa (Alhamisi), waje na vitambulisho vyao, picha zao tunazo hivyo wasijaribu kufanya uhuni,’ alisema Magufuli
Aliongeza, “ Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, wakuu wa wilaya na wakurugenzi, kuweni makini sana na hawa maofisa wa ardhi wa wilaya, wanaweza kuitia Serikali gharama zisizostahili, hizi Sh5 bilioni si zinajenga barabara nyingine.”
Alisema kuwa majina ya wamiliki hao hewa wa nyumba 61 atayakabidhi kwenye mamlaka husika ili wachukuliwe hatua kwa kukiuka taratibu kwa kuwa wamesababisha ujenzi wa barabara hiyo kuchelewa na kuitia Serikali hasara.
Magufuli alimweleza kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiq kuwa manispaa za jijini Dar es Salaam zina watendaji wabaya na kumtaka kuwashughulikia.
“Afisa ardhi gani anagawa viwanja katika maeneo ya barabara?, tuwachukulie hatua na ikibidi tuwaweke ndani. Wanatuharibia halafu wanakuwa wa kwanza katika vikao vyetu, hawa ndio wanaichonganisha Serikali na wananchi,” alisema Magufuli.
Akitoa ufafanuzi wa watu wanaostahili kulipwa katika upanuzi wa barabara inayoanzia Stendi ya Mabasi ya Ubungo mpaka Jengo la Klabu ya Yanga lililopo Ilala, Magufuli alisema kuwa waliojenga nyumba zao kuanzia Mabibo Mwisho mpaka Ilala Mchikichini, hawatalipwa.
“Eneo la Klabu ya Yanga mpaka Ilala Mchikichini kabla ya kuvuka daraja, waliojenga nyumba pembeni ya barabara hii watalipwa fidia kwa kuwa eneo hilo halipo katika sheria ya 167 ya mwaka 1967 na pia halipo katika sheria ya barabara kifungu cha 13ya mwaka 2007,” alisema Magufuli.
Akiwa anapita katika barabara hiyo na kusimamisha magari huku akiwaeleza wananchi kuhama maeneo hayo, Magufuli alisema wengine watakaolipwa katika upanuzi wa barabara hiyo, ni wale waliojenga nyumba zao kuanzia Ubungo Kisiwani hadi Mabibo Ward na kwamba nyumba 201 ndio zitakazolipwa. Alisema mradi huo utagharimu Sh 4,429,336,710.
“Nyumba zilizojengwa katika eneo la barabara ambazo zipo, Mbuyuni, Mabibo Farasi, Mabibo Matokeo, Mburahati Kisiwani, Kigogo Mkwajuni na Kigogo Kati, hazitalipwa kwa kuwa eneo zilizopo ni kwenye Highway Ordinance chini ya Sheria namba 167, na pia zipo katika Sheria ya Barabara Namba 13 ya mwaka 2007,” alisema Magufuli.
Mbali na kutembelea barabara hiyo, Magufuli pia alikagua ujenzi wa barabara ya Jet Corner - Yombo Vituka- Davis Corner na kusema kuwa mradi huo utagharimu Sh 11,989,526,692. Alisema wananchi wote waliojenga pembezoni mwa barabara hiyo, watalipwa.
“Barabara hii ina urefu wa kilomita 10.3. Hawa wote watalipwa isipokuwa katika maeneo ambayo kulifanyika ulipaji kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege, ujenzi wa Daraja la Mwinyi, nyumba zipo 766,” alisema
Aliongeza, “Nyumba 149 zilizopo maeneo ya Kiwalani Kigilagila na Nyambwela bado zinafanyiwa uhakiki kwa kuwa pia zilihusika katika ulipaji wa fidia wa mradi wa Jet-Lumo miaka ya nyuma, uhakiki zaidi unahitajika.”
Magufuli ambaye alifanya mkutano na kuzungumza na wananchi wa Yombo mara baada ya kuikagua barabara hiyo, alisema kuwa barabara hizo ni kubwa hivyo hazitawekewa matuta bali kutakuwa na alama za barabarani.
Alisema kuwa wananchi watakaochelewa kubomoa nyumba zao zitabomolewa na Serikali na hawataambulia chochote kwa kuwa kila kitu kitachukuliwa na Serikali kwa kuwa nyumba hizo zitakuwa zimeshalipiwa fidia na Serikali.
Alisema kuwa Serikali itatumia sh 17,973,091,427 kwa kulipa fidia.
“Kama nyumba yako imeingia nusu ndani ya eneo la barabara, itabomolewa hiyo nusu na wewe utalipwa kulingana na ulivyobomolewa, hatuwezi kulipa gharama ya nyumba nzima wakati umebomolewa nusu,” alisisitiza.
Fergie: Owners need football education
Sir Alex Ferguson believes that modern-day football club owners and directors should be educated about the values of patience in order to avoid the regular managerial sackings that he feels currently blight the game.
"There is a trend at the moment, there's definitely a trend, [though] you hope it goes in cycles," Ferguson told ESPN. "Me and [League Manager Association chief] Richard Bevan have been talking about actually educating directors about the game because you're getting people from abroad at the moment.
"The old style of chairman is gone, you know the old chairman that used to love his club and just be there, and love to be there on a Saturday, have his brandy after the game, these days are gone. We've got aggressive, very ambitious directors and I think nature's changed a lot of people in the last 30 years.
"Nowadays, anything that happens, [the fans] they're screaming over the top of each other, the emotions of the support have generated a different atmosphere in the grounds, and it gets through to the boardrooms and all these directors panic like hell.
Ferguson is still surprised at the lack of time afforded to managers, and revealed his disgust last month at the sacking of friend Sam Allardyce by Blackburn.
And the United boss, who has seen 1069 fellow league managers come and go since he first took the Old Trafford reins in 1986, believes that clubs should take a look at the achievements of himself and Arsene Wenger and take note of what can be achieved with some loyalty.
"It amazes me," Ferguson said. "There's definitely no evidence that sacking a manager brings success and that's been proven. Arsenal and Manchester United...[have] proved that by consistent management that a club can be stable for a long, long time and have success.
"Some other managers, unfortunately it has to be said, don't get that time. We''e always had time here and I suppose that's the great benefit I've had."
Ferguson continues to show no sign of nearing retirement, but said that when the time eventually comes he will be "heading for the hills", though the 69-year-old cannot see his association with Manchester United ever coming to an end.
"Well I will probably have an interest in Manchester United in some capacity of course but the important thing is to cut yourself completely off," Ferguson said. "I would never go to any other job or anything like that, no chance.
"Once I'm finished at United I'll be heading for the hills and the sunset you know. I'll be taking a rest there's no doubt about that. I think the important thing for anyone who retires is to be active. I will be active, there's no question about that, take other interests up."
"There is a trend at the moment, there's definitely a trend, [though] you hope it goes in cycles," Ferguson told ESPN. "Me and [League Manager Association chief] Richard Bevan have been talking about actually educating directors about the game because you're getting people from abroad at the moment.
"The old style of chairman is gone, you know the old chairman that used to love his club and just be there, and love to be there on a Saturday, have his brandy after the game, these days are gone. We've got aggressive, very ambitious directors and I think nature's changed a lot of people in the last 30 years.
"Nowadays, anything that happens, [the fans] they're screaming over the top of each other, the emotions of the support have generated a different atmosphere in the grounds, and it gets through to the boardrooms and all these directors panic like hell.
Ferguson is still surprised at the lack of time afforded to managers, and revealed his disgust last month at the sacking of friend Sam Allardyce by Blackburn.
And the United boss, who has seen 1069 fellow league managers come and go since he first took the Old Trafford reins in 1986, believes that clubs should take a look at the achievements of himself and Arsene Wenger and take note of what can be achieved with some loyalty.
"It amazes me," Ferguson said. "There's definitely no evidence that sacking a manager brings success and that's been proven. Arsenal and Manchester United...[have] proved that by consistent management that a club can be stable for a long, long time and have success.
"Some other managers, unfortunately it has to be said, don't get that time. We''e always had time here and I suppose that's the great benefit I've had."
Ferguson continues to show no sign of nearing retirement, but said that when the time eventually comes he will be "heading for the hills", though the 69-year-old cannot see his association with Manchester United ever coming to an end.
"Well I will probably have an interest in Manchester United in some capacity of course but the important thing is to cut yourself completely off," Ferguson said. "I would never go to any other job or anything like that, no chance.
"Once I'm finished at United I'll be heading for the hills and the sunset you know. I'll be taking a rest there's no doubt about that. I think the important thing for anyone who retires is to be active. I will be active, there's no question about that, take other interests up."
Chelsea's Fernando Torres wants goal against Liverpool
Chelsea's new £50m signing Fernando Torres has said it would be "destiny" to score against former club Liverpool when the teams meet on Sunday.
By coincidence, the Spaniard could make his debut for the Blues against the side he left on Monday. The 26-year-old striker has not asked to be left out of the Premier League clash and stated: "It is like destiny."
He admitted: "It is not perfect but if I have the chance to play, I will do my best and hopefully I can score."
Torres' departure from Anfield, where he spent the best part of four years, was greeted with anger by many fans, some of whom burnt replica shirts bearing their former hero's name.
But the player stressed: "I only have good words about Liverpool. They made me a top player and gave me the chance to play at the top level.
"I will never say anything bad about Liverpool. I have been very happy there but now the history is different and I am playing for Chelsea."
Torres, who scored 81 goals during his spell on Merseyside, risked further annoying fans of his former club when he told Chelsea TV: "I am joining a team that is at the top level. There is not another level after Chelsea.
"I am joining with big names like [John] Terry, [Frank] Lampard, [Didier] Drogba and [Nicolas] Anelka and I can be part of this great team."
Torres admitted he had not yet met up with the Blues manager Carlo Ancelotti but said: "I wanted to join because Chelsea always have shown a big respect for me.
"They really want me and it is important when you have the support of the people in the club, and the support of the fans who always showed respect to me when I came to Stamford Bridge and at Anfield.
"Now I am very happy to be a Chelsea player."
Fans of the Stamford Bridge outfit will be relieved not to have Torres lining up against them for once, after he proved to be a thorn in their side with seven goals against them while playing for Liverpool.
The striker added: "I have good memories and bad memories of games against Chelsea. All the goals are good memories because all of them are special.
"If they are happy as well because I am not going to score any more against them then it is good.
Sunday, January 30, 2011
German train crash leaves 10 dead
At least 10 people are reported to have died in a train crash in eastern Germany.
A local passenger train and a goods train collided head-on in the state of Saxony-Anhalt late on Saturday, near the city of Magdeburg. The passenger train, the HarzElbeExpress, was travelling on a single track section between Magdeburg and Halberstadt.
The cause of the crash, which left 33 injured, is unclear.
Several carriages were derailed after the collision near the village of Hordorf at about 2230 (2130 GMT)
"Rescue operations are still ongoing. The death toll may well rise further," said regional police spokesman Frank Kuessner said.
More than 150 firemen, police and rescue workers were at the scene, AFP reported.
The passenger train "was the last train of the evening out of Magdeburg" on the line - a single track on which overnight engineering work was scheduled.
A spokesman for Veolia, the company which runs the HarzElbeExpress service, said that the train had a capacity of about 100 people. About 45 people were on board at the time of the crash
Djokovic too good for Murray in final
![]() |
| Djokovic won the title in Melbourne for the loss of just one set |
The 23-year-old Serbian won 6-4 6-2 6-3 in a stiflingly hot Melbourne to regain the title he first won in 2008 and condemn Murray to a third defeat in Grand Slam finals.
Murray had been hoping to become the first British man to claim a major title since Fred Perry won the US Open in 1936, and Scotland's first ever Grand Slam singles champion, but he was overpowered by the world number three.
"He had an unbelievable tournament and deserved to win," said Murray afterwards. "Hopefully I'll come back and have more chances in the future."
A victorious Djokovic responded: "I want to congratulate Andy for a great two weeks, it was really difficult to play against you tonight. Hopefully you will have another chance to win a Grand Slam trophy and, with your talent, I'm sure you will."
Djokovic went into Sunday's final a slight favourite having beaten reigning champion Roger Federer in straight sets in the semi-finals, and with the confidence of having won the Australian title in 2008.
Murray, seeded fifth, has always claimed not to be affected by his nation's clamour for a Grand Slam champion, but his own desire to land a major title after twice losing in finals brings enough pressure and he made a nervous start.
Djokovic hammered some heavy forehands in the Briton's opening service game and earned a break point, but a loose error let Murray off the hook and the Scot edged through a tense 15-minute game.
- Murray then immediately had a half-chance of his own on the Djokovic serve, only to miss a smash at 15-30, but the rhythm was set and both men knew they were in for a battle.
Egypt protests: Anti-Mubarak protesters take over Cairo
Protesters have taken over the centre of the Egyptian capital Cairo on the sixth day of demonstrations against the rule of President Hosni Mubarak.
The police, who have been involved in violent clashes with protesters in recent days, have largely disappeared from the streets.There is a heavy military presence in the city, but soldiers are not intervening.
Meanwhile, al-Jazeera's broadcasts via an Egyptian satellite have been halted.
The Egyptian government had earlier ordered the Arabic TV channel, which has been showing blanket coverage of the protests, to shut down its operations in the country.
Clashes between protesters and the security forces - mostly riot police - are reported to have left at least 100 people dead across Egypt since rallies began on Tuesday. Thousands have been injured as violence has flared in cities including Cairo, Suez and Alexandria.
In Cairo, many protesters defied an overnight curfew to camp out in Tahrir (Liberation) Square, the focal point of the demonstrations in the city.
Chants of "Mubarak, Mubarak, the plane awaits" could be heard on Sunday morning, a reference to protesters' hopes that President Mubarak will step down and leave Egypt.
Many protesters once again climbed onto tanks and armoured vehicles around the square, with many soldiers apparently on friendly terms with the anti-Mubarak demonstrators.Sunday is the start of the working week in the Middle East, but many businesses in the capital are closed. Internet access remains intermittent.
The BBC's Jeremy Bowen says that although key government buildings are under heavy guard, there appears to be a vacuum of authority in large areas of the city.
Throughout the city, armed citizens' groups have formed to respond to the widespread looting and disorder that has accompanied the growing sense of lawlessness.
Across Egypt, thousands of prisoners are reported to have escaped from jails after overpowering their guards
Saturday, January 29, 2011
Hakielimu: Siasa zimeathiri matokeo kidato cha nne
KUSHUKA kwa kiwango cha ufaulu kidato cha nne mwaka 2010 kwa asilimia 22 ni matokeo ya serikali kuruhusu propaganda za kisiasa katika mipango ya elimu, imeelezwa.
Hayo yalielezwa na Taasisi ya HakiElimu ikishirikiana na Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET) katika mkutano na waandishi wa habari, Jijini Dar es Salaam, jana.
Walieleza kwamba serikali imekuwa ikipanga mambo mengi ya elimu yakiongozwa na propaganda za kisiasa jambo ambalo halitekelezwi kikamilifu.Wakatoa mfano kuwa serikali iliwahi kutoa ahadi ya kujenga nyumba za walimu 21,000 lakini hadi unafika mwisho wa kipindi kilichokadiriwa ni 260 tu zilikuwa zimejengwa.
"Wanaweza kueleza kuwa wanajenga nyumba za walimu 21,000 lakini mpaka kipindi walichopanga kinamalizika wamejenga nyumba 260 tu,” Alisema Ofisa Utetezi wa sera za elimu wa TEN/MET, Florence Francis.
Kutokana na hali hiyo, alishauri kwamba siasa isiingizwe katika sekta ya elimu kwa kuwa italiangamiza taifa.Francis alisema elimu ya Tanzania haitafika katika kiwango cha juu kama masuala ya siasa yataendelea kuchanganywa na elimu.“Binafsi naona bora kuwa na sheria kuwa kila mtanzania, awe na fedha au asiwe nazo apeleke mtoto wake kusoma katika shule za serikali za Kata, kwa sababu vigogo hawaoni hasara ya shule hizi kwa kuwa watoto wao hawasomi huko,” alisema Francis.
Alisema kuwa umefikiwa wakati kwa wananchi kuchukua hatua ikiwa ni pamoja na kufanya mikutano ya kamati za shule na kuwasilisha matatizo yao sambamba na kufuatilia maendeleo ya watoto wao.“Umefikia wakati wa serikali kutimiza ahadi zake, mpango wa MMES na MMEM ni mzuri, lakini wanaweza kueleza kuwa wanajenga nyumba za walimu 21,000 lakini mpaka kipindi walichopanga kinamalizika wamejenga nyumba 260 tu,” alisema Francis.
Januari 25 Baraza la mitihani (Necta) ilitangaza matokeo ya kidato cha nne uliofanyika Oktoba, 2010 yanayoonyesha kuwa kiwango cha ufaulu kimeshuka kwa asilimia 22 ikilinganishwa na matokeo ya mwaka 2009 huku wasichana wakiwa wanaoongoza kwa kufanya vizuri.
Mkurugenzi wa Hakielimu
Mkurugenzi Mtendaji wa Hakielimu, Elizabeth Missokia alisema licha ya kuwa idadi ya watahiniwa waliofanya mtihani huo kuongezeka kwa asilimia 43, bado mazingira yanawagandamiza watoto wa masikini na kwamba wengi wao ndio waliofeli mtihani huo.“Maelfu ya wanafunzi walioshindwa mtihani wametokea katika shule za kata ambako ndiko kwenye wananchi masikini zaidi.
Kwa mwenendo huu tutawakomboaje watu masikini wa nchi hii ambao ni wengi,” alisema Missokia.Alisema tofauti na ilivyokuwa zamani ambapo shule za serikali zilikuwa zikiongoza, hivi sasa mambo yamebadilika ambapo shule hizo zimekuwa zikifanya vibaya.
Kwa sababu hiyo akahoji ni kwa nini serikali isijifunze kuendesha shule zake kama zinavyoendeshwa shule za binafsi.“Shule binafsi hazipati ruzuku ya serikali. Kwa nini uwekezaji wa serikali katika elimu usiendane na matarajio ya wananchi, walipa kodi,” alihoji Missokia.Alisema kuwa hatua za haraka zinatakiwa kuchukuliwa ili kuboresha sekta ya elimu kwa kuwa kila mwaka mikoa inayofanya vizuri ni ile ile.
“Tumesikia wasichana kuwa wamefanya vizuri, tujiulize ni wasichana wangapi waliofanya mtihani ule? Wavulana waliofaulu ni asilimia 56.28 na wasichana ni 43.47, waliopata daraja la I-III, wasichana ni asilimia 7.81 na wavulana ni 14.62.
Hii ni tofauti kubwa,” alisema.Aliongeza “ Haiwezekani kujifariji kwa kuangalia ufaulu wa wasichana wachache wakati huo huo fursa za walio wengi zikibinywa, malengo ni kuwaendeleza wote, wasichana kwa wavulana.”Alizitaja sababu zilizochangia kushuka kwa ufaulu kuwa ni pamoja na uhaba wa walimu, mazingira duni ya kujifunzia, uhaba wa vifaa vya kujifunzia na kufundishia pamoja na hamasa ndogo ya wanafunzi.
Alisema kuwa ili elimu haiwezi kuboreshwa kwa kuendelezwa kwa watu wachache wanaopata fursa za kipekee kwenye shule chache huku elimu ya jamii pana ikiwa mashakani.“Hakuna haja ya kulumbana wala kuingiza siasa katika elimu, bali serikali itekeleza mipango na sera zilizopo na kuboresha mapungufu kwa kushirikiana na wadau,” alisema Missokia.
Alisema kuwa ili kuboresha elimu kusiwe na njia za mkato bali ni kuwa na njia za kuwekeza kwa umakini katika elimu.Alisema ahadi zilizotolewa na rais Jakaya Kikwete katika Uchaguzi mkuu wa Oktoba 31 mwaka huu zifanyiwe kazi.“Rais alitoa ahadi ya kuipa kipaumbele sekta ya elimu, kuboresha maslahi ya walimu, Wizara ya Tamisemi nayo iliahidi kuboresha mafunzo ya walimu, nyumba za walimu zitajengwa, maabara zitaongezwa, umeme utafika mashuleni ili kuboresha shule za serikali.
Ni matumani yetu kuwa ahadi hizi zitatekelezwa,” alisema Missokia.Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Joyce Ndalichako, aliwaambia waandishi wa habari wakati akitangaza matokeo kuwa wasichana wamefanya vizuri zaidi kuliko wavulana.Kwa mujibu wa matokeo ya mtihani wa mwaka jana, kati ya shule kumi bora katika kundi la shule zenye watahiniwa chini ya 40, saba ni shule za seminari na huku Shule ya Seminari ya Uru inaongoza shule kumi bora katika kundi la shule zenye watahiniwa zaidi ya 40. Matokeo hayo yanaonyesha kuwa shule kumi za mwisho ni mchanganyiko wa shule za serikali na watu binafsi.
Joseph Mungai naye anena
Waziri wa zamani wa Elimu na Utamaduni, katika Serikali ya awamu ya tatu, Joseph Mungai amesema matokeo mabaya ya mtihani wa kidato cha nne yamesababishwa na Serikali ya awamu ya nne kuyatupa baadhi ya mambo mazuri yaliyokuwemo kwenye mpango MMES.
Mungai ambaye amewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Mufindi Kusini Mkoani Iringa kwa nyakati tofautitofauti na Waziri katika awamu ya kwanza na ya pili kabla ya kuwa Waziri wa elimu mwaka 2000 hadi mwaka 2005, aliyataja baadhi ya mambo hayo ni kuwepo na mizania kati ya upanuzi wa elimu ya sekondari na upanuzi wa mafunzo ya walimu wa sekondari.
Alitaja sababu nyingine ambazo zilizochangia wanafunzi wengi waliohitimu kidato cha nne kushindwa mitihani kuwa ni upanuzi wa elimu ya sekondari bila kufuata mpango wa maendeleo ya elimu hiyo yaani MMES.”Nafikiri kwa maoni yangu, haya matokeo ya sekondari yanatokana na kupanua elimu ya sekondari bila kufuata mpango wa elimu ya sekondari,” alisema Mungai na kuongeza:"Kulikuwa na mpango wa MMES niliuacha pale (Wizara ya Elimu) tulikuwa tumepanga mambo mengi na ilikuwa yaende hatua kwa hatua.
Mojawapo ni kwamba ilikuwa baada ya miaka mitano, kuanzia 2005, idadi ya wanafunzi wanaokwenda elimu ya sekondari ndiyo wafikie asilimia 50.
Alisema baada ya mafanikio makubwa katika elimu ya msingi kutokana na utekelezaji wa MMEM na MMES ambao ulipaswa kuanzia mwaka 2005 na mwaka huo ndipo vilianzishwa Vyuo Vikuu vya Elimu vya Mkwawa na Chang'ombe kwa lengo la kusaidia upatikanaji wa walimu wa sekondari.
Alisema Mkwawa na Chang'ombe vilianzishwa kwa lengo la kuweka mizainia kati ya upanuzi wa elimu ya sekondari na upanuzi wa mafunzo ya walimu wa sekondari.
Mungai aliongeza kwamba walikuwa wameongea na Vyuo hivyo baada ya kuanzishwa, kwamba wanafunzi wa mwaka uliokuwa unaonza wafundishwe zaidi mbinu za ufundishaji ili baada ya mwaka huo waende kusaidia kufundisha sekondari kupunguza uhaba wa walimu.
"Tulitaka wanafunzi walioingia mwaka wa kwanza wakati Vyuo hivyo vinaanzishwa, mkazo uwekwe zaidi kwenye mbinu za ufundashaji,” alisema Mungai.
Mungai alisema serikali iliharibu pale ilipoendeleza mpango huo kwa kujenga shule ya sekondari kila kata huku zikikabiliwa na uhaba mkubwa wa walimu. "Sasa kuna baadhi ya shule katika kata zina mwalimu mmoja au wawili... Ilifika wakati Wizara walilazimika kuanza kupanga upya walimu, haikuwa mbaya lakini tatizo ni kwamba baadhi ya shule zilikuwa zinafanya vizuri lakini walimu wake walipoondolewa na kuhamishiwa sehemu nyingine, shule hizo ziliathirika pia,” alifafanua.
Tatizo lingine ambalo Mungai alisema limechangia matokeo mabaya ni mlundikano wa masomo kwa ngazi hiyo ya sekondari huku baadhi ya masomo yakiwa yanafundishwa kwa kiwango hafifu kutokana na walimu kutoyamudu. "Tulitengeneza Programu ya kupunguza wingi wa masomo katika shule za sekondari tukaondoa masomo ya michepuo kama ufundi, kilimo na biashara na tukaweka mkazo kwenye hisabati ili hisabati liwe na hesabu za biashara.
Hilo nalo liliondolewa,” alisema. Alisema ili kuboresha elimu hiyo ya sekondari kuna haja ya kufanya marejeo ya Mpango mzima wa MMES pamoja na kuweka mkazo kwamba shuleni ni mahali pa mwalimu kufundisha na mwanafunzi kusoma.
”Nilipoingia Wizara ya Elimu nilikuta Pass rate (Kiwango cha kufaulu) kilikuwa asilimia 19 lakini kwa kuweka mkazo kwamba shuleni ni mahali pa mwalimu kufundisha na mwanafunzi kusoma na kufuta Umtashumta na Umiseta ingawa nalaumiwa mpaka leo, kiwango cha kufaulu kilipanda hadi asilimia 62 mwaka 2005."Lakini hebu angalia leo kiwango cha kufaulu darasa la saba kimekuwa kikishuka kila mwaka,” alisema.
Hayo yalielezwa na Taasisi ya HakiElimu ikishirikiana na Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET) katika mkutano na waandishi wa habari, Jijini Dar es Salaam, jana.
Walieleza kwamba serikali imekuwa ikipanga mambo mengi ya elimu yakiongozwa na propaganda za kisiasa jambo ambalo halitekelezwi kikamilifu.Wakatoa mfano kuwa serikali iliwahi kutoa ahadi ya kujenga nyumba za walimu 21,000 lakini hadi unafika mwisho wa kipindi kilichokadiriwa ni 260 tu zilikuwa zimejengwa.
"Wanaweza kueleza kuwa wanajenga nyumba za walimu 21,000 lakini mpaka kipindi walichopanga kinamalizika wamejenga nyumba 260 tu,” Alisema Ofisa Utetezi wa sera za elimu wa TEN/MET, Florence Francis.
Kutokana na hali hiyo, alishauri kwamba siasa isiingizwe katika sekta ya elimu kwa kuwa italiangamiza taifa.Francis alisema elimu ya Tanzania haitafika katika kiwango cha juu kama masuala ya siasa yataendelea kuchanganywa na elimu.“Binafsi naona bora kuwa na sheria kuwa kila mtanzania, awe na fedha au asiwe nazo apeleke mtoto wake kusoma katika shule za serikali za Kata, kwa sababu vigogo hawaoni hasara ya shule hizi kwa kuwa watoto wao hawasomi huko,” alisema Francis.
Alisema kuwa umefikiwa wakati kwa wananchi kuchukua hatua ikiwa ni pamoja na kufanya mikutano ya kamati za shule na kuwasilisha matatizo yao sambamba na kufuatilia maendeleo ya watoto wao.“Umefikia wakati wa serikali kutimiza ahadi zake, mpango wa MMES na MMEM ni mzuri, lakini wanaweza kueleza kuwa wanajenga nyumba za walimu 21,000 lakini mpaka kipindi walichopanga kinamalizika wamejenga nyumba 260 tu,” alisema Francis.
Januari 25 Baraza la mitihani (Necta) ilitangaza matokeo ya kidato cha nne uliofanyika Oktoba, 2010 yanayoonyesha kuwa kiwango cha ufaulu kimeshuka kwa asilimia 22 ikilinganishwa na matokeo ya mwaka 2009 huku wasichana wakiwa wanaoongoza kwa kufanya vizuri.
Mkurugenzi wa Hakielimu
Mkurugenzi Mtendaji wa Hakielimu, Elizabeth Missokia alisema licha ya kuwa idadi ya watahiniwa waliofanya mtihani huo kuongezeka kwa asilimia 43, bado mazingira yanawagandamiza watoto wa masikini na kwamba wengi wao ndio waliofeli mtihani huo.“Maelfu ya wanafunzi walioshindwa mtihani wametokea katika shule za kata ambako ndiko kwenye wananchi masikini zaidi.
Kwa mwenendo huu tutawakomboaje watu masikini wa nchi hii ambao ni wengi,” alisema Missokia.Alisema tofauti na ilivyokuwa zamani ambapo shule za serikali zilikuwa zikiongoza, hivi sasa mambo yamebadilika ambapo shule hizo zimekuwa zikifanya vibaya.
Kwa sababu hiyo akahoji ni kwa nini serikali isijifunze kuendesha shule zake kama zinavyoendeshwa shule za binafsi.“Shule binafsi hazipati ruzuku ya serikali. Kwa nini uwekezaji wa serikali katika elimu usiendane na matarajio ya wananchi, walipa kodi,” alihoji Missokia.Alisema kuwa hatua za haraka zinatakiwa kuchukuliwa ili kuboresha sekta ya elimu kwa kuwa kila mwaka mikoa inayofanya vizuri ni ile ile.
“Tumesikia wasichana kuwa wamefanya vizuri, tujiulize ni wasichana wangapi waliofanya mtihani ule? Wavulana waliofaulu ni asilimia 56.28 na wasichana ni 43.47, waliopata daraja la I-III, wasichana ni asilimia 7.81 na wavulana ni 14.62.
Hii ni tofauti kubwa,” alisema.Aliongeza “ Haiwezekani kujifariji kwa kuangalia ufaulu wa wasichana wachache wakati huo huo fursa za walio wengi zikibinywa, malengo ni kuwaendeleza wote, wasichana kwa wavulana.”Alizitaja sababu zilizochangia kushuka kwa ufaulu kuwa ni pamoja na uhaba wa walimu, mazingira duni ya kujifunzia, uhaba wa vifaa vya kujifunzia na kufundishia pamoja na hamasa ndogo ya wanafunzi.
Alisema kuwa ili elimu haiwezi kuboreshwa kwa kuendelezwa kwa watu wachache wanaopata fursa za kipekee kwenye shule chache huku elimu ya jamii pana ikiwa mashakani.“Hakuna haja ya kulumbana wala kuingiza siasa katika elimu, bali serikali itekeleza mipango na sera zilizopo na kuboresha mapungufu kwa kushirikiana na wadau,” alisema Missokia.
Alisema kuwa ili kuboresha elimu kusiwe na njia za mkato bali ni kuwa na njia za kuwekeza kwa umakini katika elimu.Alisema ahadi zilizotolewa na rais Jakaya Kikwete katika Uchaguzi mkuu wa Oktoba 31 mwaka huu zifanyiwe kazi.“Rais alitoa ahadi ya kuipa kipaumbele sekta ya elimu, kuboresha maslahi ya walimu, Wizara ya Tamisemi nayo iliahidi kuboresha mafunzo ya walimu, nyumba za walimu zitajengwa, maabara zitaongezwa, umeme utafika mashuleni ili kuboresha shule za serikali.
Ni matumani yetu kuwa ahadi hizi zitatekelezwa,” alisema Missokia.Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Joyce Ndalichako, aliwaambia waandishi wa habari wakati akitangaza matokeo kuwa wasichana wamefanya vizuri zaidi kuliko wavulana.Kwa mujibu wa matokeo ya mtihani wa mwaka jana, kati ya shule kumi bora katika kundi la shule zenye watahiniwa chini ya 40, saba ni shule za seminari na huku Shule ya Seminari ya Uru inaongoza shule kumi bora katika kundi la shule zenye watahiniwa zaidi ya 40. Matokeo hayo yanaonyesha kuwa shule kumi za mwisho ni mchanganyiko wa shule za serikali na watu binafsi.
Joseph Mungai naye anena
Waziri wa zamani wa Elimu na Utamaduni, katika Serikali ya awamu ya tatu, Joseph Mungai amesema matokeo mabaya ya mtihani wa kidato cha nne yamesababishwa na Serikali ya awamu ya nne kuyatupa baadhi ya mambo mazuri yaliyokuwemo kwenye mpango MMES.
Mungai ambaye amewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Mufindi Kusini Mkoani Iringa kwa nyakati tofautitofauti na Waziri katika awamu ya kwanza na ya pili kabla ya kuwa Waziri wa elimu mwaka 2000 hadi mwaka 2005, aliyataja baadhi ya mambo hayo ni kuwepo na mizania kati ya upanuzi wa elimu ya sekondari na upanuzi wa mafunzo ya walimu wa sekondari.
Alitaja sababu nyingine ambazo zilizochangia wanafunzi wengi waliohitimu kidato cha nne kushindwa mitihani kuwa ni upanuzi wa elimu ya sekondari bila kufuata mpango wa maendeleo ya elimu hiyo yaani MMES.”Nafikiri kwa maoni yangu, haya matokeo ya sekondari yanatokana na kupanua elimu ya sekondari bila kufuata mpango wa elimu ya sekondari,” alisema Mungai na kuongeza:"Kulikuwa na mpango wa MMES niliuacha pale (Wizara ya Elimu) tulikuwa tumepanga mambo mengi na ilikuwa yaende hatua kwa hatua.
Mojawapo ni kwamba ilikuwa baada ya miaka mitano, kuanzia 2005, idadi ya wanafunzi wanaokwenda elimu ya sekondari ndiyo wafikie asilimia 50.
Alisema baada ya mafanikio makubwa katika elimu ya msingi kutokana na utekelezaji wa MMEM na MMES ambao ulipaswa kuanzia mwaka 2005 na mwaka huo ndipo vilianzishwa Vyuo Vikuu vya Elimu vya Mkwawa na Chang'ombe kwa lengo la kusaidia upatikanaji wa walimu wa sekondari.
Alisema Mkwawa na Chang'ombe vilianzishwa kwa lengo la kuweka mizainia kati ya upanuzi wa elimu ya sekondari na upanuzi wa mafunzo ya walimu wa sekondari.
Mungai aliongeza kwamba walikuwa wameongea na Vyuo hivyo baada ya kuanzishwa, kwamba wanafunzi wa mwaka uliokuwa unaonza wafundishwe zaidi mbinu za ufundishaji ili baada ya mwaka huo waende kusaidia kufundisha sekondari kupunguza uhaba wa walimu.
"Tulitaka wanafunzi walioingia mwaka wa kwanza wakati Vyuo hivyo vinaanzishwa, mkazo uwekwe zaidi kwenye mbinu za ufundashaji,” alisema Mungai.
Mungai alisema serikali iliharibu pale ilipoendeleza mpango huo kwa kujenga shule ya sekondari kila kata huku zikikabiliwa na uhaba mkubwa wa walimu. "Sasa kuna baadhi ya shule katika kata zina mwalimu mmoja au wawili... Ilifika wakati Wizara walilazimika kuanza kupanga upya walimu, haikuwa mbaya lakini tatizo ni kwamba baadhi ya shule zilikuwa zinafanya vizuri lakini walimu wake walipoondolewa na kuhamishiwa sehemu nyingine, shule hizo ziliathirika pia,” alifafanua.
Tatizo lingine ambalo Mungai alisema limechangia matokeo mabaya ni mlundikano wa masomo kwa ngazi hiyo ya sekondari huku baadhi ya masomo yakiwa yanafundishwa kwa kiwango hafifu kutokana na walimu kutoyamudu. "Tulitengeneza Programu ya kupunguza wingi wa masomo katika shule za sekondari tukaondoa masomo ya michepuo kama ufundi, kilimo na biashara na tukaweka mkazo kwenye hisabati ili hisabati liwe na hesabu za biashara.
Hilo nalo liliondolewa,” alisema. Alisema ili kuboresha elimu hiyo ya sekondari kuna haja ya kufanya marejeo ya Mpango mzima wa MMES pamoja na kuweka mkazo kwamba shuleni ni mahali pa mwalimu kufundisha na mwanafunzi kusoma.
”Nilipoingia Wizara ya Elimu nilikuta Pass rate (Kiwango cha kufaulu) kilikuwa asilimia 19 lakini kwa kuweka mkazo kwamba shuleni ni mahali pa mwalimu kufundisha na mwanafunzi kusoma na kufuta Umtashumta na Umiseta ingawa nalaumiwa mpaka leo, kiwango cha kufaulu kilipanda hadi asilimia 62 mwaka 2005."Lakini hebu angalia leo kiwango cha kufaulu darasa la saba kimekuwa kikishuka kila mwaka,” alisema.
Yanga yawavaa Wahabeshi Taifa
KOCHA wa Yanga aliyetangaza kubwaga manyanga, Kosta Papic huenda akasimamia timu yake katika mechi ya Kombe la Shirikisho, dhidi ya Wahabeshi wa Dedebit Sports kutoka Ethiopia katika mchezo wa kwanza wa raundi ya awali wa michuano hiyo ya klabu Afrika.
Siku kadhaa zilizopita, Yanga imekumbwa na migogoro na Papic, raia wa Serbia kutangaza kubwaga manyanga kabla ya uongozi wa klabu hiyo kugomea uamuzi wake huo. Hata hivyo, Papic mbali na kuaga hadi wachezaji, alikuwa hajawasilisha barua ya kuachia ngazi.
Habari ambazo Mwananchi imezipata jana na kuthibitishwa na Papic mwenyewe zinasema kuwa yupo tayari kubaki kwa sharti la uongozi wa klabu hiyo kumuweka pembeni kocha msaidizi Felex Minziro.
"Mazungumzo ya juzi na leo (jana), mchana wanafikia tamati leo mchana, nimetoa masharti na moja ya masharti hayo ni kwamba wamuondoe Minziro ndipo niendelee hadi mkataba wangu utakapomalizika," alisema Papic
Hata hivyo chanzo cha habari kiliambia Mwananchi kuwa uongozi wa klabu hiyo pamoja na mdhamini wamekubaliana na matakwa ya kocha huyo na wapo kwenye mazungumzo na Minziro ili waweze kumpa ajira nyingine kwa muda hadi hapo mkataba wa Papic utakapoisha ikiwa ni pamoja na kuanza mchakato wa kusaka kocha bora atakayebeba mikoba ya Papic.
Ukiacha hayo, Yanga iliyokuwa chini ya Fred Felix Minziro 'Majeshi', ambaye alisema kuwa kwa upande wao wamefanya maandalizi ya kutosha kuhakikisha wanafanya vizuri katika michuano hiyo.
''Tumejipanga kuakikisha tunafanya vizuri hasa katika mchezo huu wa leo kwa kuwa tuko nyumbani itakuwa ni aibu na kuwanyima raha wana Yanga kama tutafungwa nyumbani hivyo nilazima tuakikishe tunashinda kitu ambacho nimewaambia hata wachezaji'' alisema Minziro.
Alisema anajua kuwa wana kibarua kigumu kuhakikisha anafanya vizuri hasa ukizingatia kachukua timu siku chache kabla ya mechi hiyo ya leo lakini kwa kuwa yeye ni Kocha na amekwishawai kuinoa timu hiyo ameweza kuutumia muda huo mchake aliokuwanao kuakikisha anawanoa vizuri vijana wake.
Hata hivyo alisema kuwa mechi ya leo ni ngumu sana kwani kila mmoja anataka kushinda lakini hatajitaidi kuwatumia vizuri wachezaji wake kwa aili ya kupata ushindi wa mapema pia anamshukuru mungu kuwa mpaka sasa anamajeruhi mmoja ambaye ni Ernest Boakye pekee.
Naye mfadhili wa klabu hiyo, Yusuf Manji ametangaza dau la sh20mil endapo timu itashinda mchezo huo. Manji tayari amewalipa mishahara ya mwezi huu wachezaji wote ikiwa ni hamasa ya kufanya vizuri.
Kwa Upande wa Kocha wa Dedebit Gembremed Haile alisema kuwa wao kwa upande wao wamekuja kushinda japo anajua mchezo huo utakuwa ni mgumu sana kwani kila mmoja huyo vitani.
Lakini aliongeza kuwa wachezaji wake wameasiliwa kwa kiasi furani na hali ya hewa kwani inautofauti mkubwa na kwao hata hivyo alionfeza kuwa haita wasumbua sana wakifika uwanjani.
Beki makini wa Yanga, Shadrack Nsajigwa alisema kuwa wamejipanga kikamilifu kuhakikisha wanashinda mchezo huo ili kujiweka sawa.
Alisema wachezaji wote wana morari ya ushindi na wanachotaka kuona timu yao inafika mbali katika michuano hiyo ya pili kwa ukubwa kwa klabu Afrika.
Siku kadhaa zilizopita, Yanga imekumbwa na migogoro na Papic, raia wa Serbia kutangaza kubwaga manyanga kabla ya uongozi wa klabu hiyo kugomea uamuzi wake huo. Hata hivyo, Papic mbali na kuaga hadi wachezaji, alikuwa hajawasilisha barua ya kuachia ngazi.
Habari ambazo Mwananchi imezipata jana na kuthibitishwa na Papic mwenyewe zinasema kuwa yupo tayari kubaki kwa sharti la uongozi wa klabu hiyo kumuweka pembeni kocha msaidizi Felex Minziro.
"Mazungumzo ya juzi na leo (jana), mchana wanafikia tamati leo mchana, nimetoa masharti na moja ya masharti hayo ni kwamba wamuondoe Minziro ndipo niendelee hadi mkataba wangu utakapomalizika," alisema Papic
Hata hivyo chanzo cha habari kiliambia Mwananchi kuwa uongozi wa klabu hiyo pamoja na mdhamini wamekubaliana na matakwa ya kocha huyo na wapo kwenye mazungumzo na Minziro ili waweze kumpa ajira nyingine kwa muda hadi hapo mkataba wa Papic utakapoisha ikiwa ni pamoja na kuanza mchakato wa kusaka kocha bora atakayebeba mikoba ya Papic.
Ukiacha hayo, Yanga iliyokuwa chini ya Fred Felix Minziro 'Majeshi', ambaye alisema kuwa kwa upande wao wamefanya maandalizi ya kutosha kuhakikisha wanafanya vizuri katika michuano hiyo.
''Tumejipanga kuakikisha tunafanya vizuri hasa katika mchezo huu wa leo kwa kuwa tuko nyumbani itakuwa ni aibu na kuwanyima raha wana Yanga kama tutafungwa nyumbani hivyo nilazima tuakikishe tunashinda kitu ambacho nimewaambia hata wachezaji'' alisema Minziro.
Alisema anajua kuwa wana kibarua kigumu kuhakikisha anafanya vizuri hasa ukizingatia kachukua timu siku chache kabla ya mechi hiyo ya leo lakini kwa kuwa yeye ni Kocha na amekwishawai kuinoa timu hiyo ameweza kuutumia muda huo mchake aliokuwanao kuakikisha anawanoa vizuri vijana wake.
Hata hivyo alisema kuwa mechi ya leo ni ngumu sana kwani kila mmoja anataka kushinda lakini hatajitaidi kuwatumia vizuri wachezaji wake kwa aili ya kupata ushindi wa mapema pia anamshukuru mungu kuwa mpaka sasa anamajeruhi mmoja ambaye ni Ernest Boakye pekee.
Naye mfadhili wa klabu hiyo, Yusuf Manji ametangaza dau la sh20mil endapo timu itashinda mchezo huo. Manji tayari amewalipa mishahara ya mwezi huu wachezaji wote ikiwa ni hamasa ya kufanya vizuri.
Kwa Upande wa Kocha wa Dedebit Gembremed Haile alisema kuwa wao kwa upande wao wamekuja kushinda japo anajua mchezo huo utakuwa ni mgumu sana kwani kila mmoja huyo vitani.
Lakini aliongeza kuwa wachezaji wake wameasiliwa kwa kiasi furani na hali ya hewa kwani inautofauti mkubwa na kwao hata hivyo alionfeza kuwa haita wasumbua sana wakifika uwanjani.
Beki makini wa Yanga, Shadrack Nsajigwa alisema kuwa wamejipanga kikamilifu kuhakikisha wanashinda mchezo huo ili kujiweka sawa.
Alisema wachezaji wote wana morari ya ushindi na wanachotaka kuona timu yao inafika mbali katika michuano hiyo ya pili kwa ukubwa kwa klabu Afrika.
Serikali yaahidi kurejesha posho walizokatwa polisi
SERIKALI imekiri kukatwa kwa posho za upelelezi na nyumba kwa askari polisi kwa miezi ya Desemba mwaka jana na Januari mwaka huu, huku ikitoa taarifa zinazokanganya kuhusu suala hilo.Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Balozi Khamis Kagasheki aliliambia Mwananchi jana kuwa, uamuzi wa kuondoa posho za watumishi umechukuliwa ili kubana matumizi yake, lakini haukutakiwa kuhusisha watumishi wa jeshi la polisi.
Lakini jana jioni msemaji mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Isaac Nantanga aliliambia mwananchi kwamba kukatwa kwa malipo ya polisi kulitokana na mfumo wa malipo ya mishahara kuruka vipengele viwili ambavyo ni posho ya upelelezi na ile ya pango.
Kwa upande wake Kagasheki alisema uamuzi wa kuondoa posho ulichukuliwa na serikali katika kubana matumizi yake, lakini haukutakiwa kugusa polisi au majeshi.
Balozi Kagasheki alisema posho ya upelelezi na nyumba kwa polisi zimeondolewa pengine kwa hasira za watumishi wa hazina kwa sababu wanazozijua, lakini sio maelekezo ya serikali. Inakadiriwa zaidi ya polisi 16,000 wameathirika mpango huo.Mwananchi jana liliripoti taarifa za kufyekwa kwa mishahara ya polisi, huku mamlaka zinazohusika zikirushiana mpira kuhusu suala hilo.
Lakini jana Balozi Kagasheki alisema kabla ya uchaguzi mwaka jana, Baraza la Mawaziri lilikubaliana kuondoa posho ambazo alidai zimekuwa kubwa kuliko bajeti ya mishahara na maendeleo, lakini uamuzi huo haukutakiwa kugusa majeshi.“Fungu la posho limekuwa kubwa linatisha linazidi fungu la mishahara na maendeleo.
Ndio maana Baraza la Mawaziri likamwambia PM (Waziri Mkuu) kwamba kwa hali hii hatuwezi kufika lazima posho zikatwe, lakini uamuzi huo haukutakiwa kuhusisha majeshi yetu,” alisema Balozi Kagasheki na kuongeza:“PM aliahidi kusimamia hilo mara moja. Lakini pengine naweza kusema watu wa Hazina kwa hasira bila kufanya utafiti wakaamua kufyeka hata posho za polisi.
"Nasema hivyo kwa sababu Hazina ndio wanufaika wakubwa wa posho hizo wanajipangia vikao wenyewe wanavyotaka, posho zinazolipwa zinatisha!”Naibu waziri huyo alisema haingii akilini kwamba posho walizopewa polisi kuanzia Julai mwaka jana, tena kwa kusimamiwa na Rais Jakaya Kikwete, ziondolewe leo bila maelezo yoyote kwa wahusika.“Mimi kama mimi nasema this is unfair (hii sio haki) zirudishwe haraka,” alisema Balozi Kagasheki na kuongeza kuwa, posho hizo zililenga kuwapunguzia makali na kuwaepusha na vishawishi vya kuingia kwenye mitego ya rushwa.
Alisema mishahara na posho za polisi bado ziko chini, ukilinganisha na nchi jirani na kwamba, anasikitika kwa taarifa za kufyekwa posho hizo kutofikishwa ngazi za juu.Kuhusu suala la polisi kutupiana mpira na Hazina, Balozi Kagasheki alisema sio kweli kwamba, jeshi hilo halina taarifa hizo kwa sababu takribani kwa siku tatu wamekuwa wakikutana na wenzao wa hazina kuhakikisha posho hizo zinarejeshwa haraka tangu makato ya Desemba mwaka jana.
Kwa upande wake Nantanga alisema inasadikiwa kulikuwa na hitilafu katika mfumo wa malipo uliosababisha kurukwa kwa vipengele viwili ambavyo ni posho ya nyumba na posho ya upelelezi.
“Bado hatujafahaumu kilichotokea, lakini sauala hilo linafanyiwa kazi,”alisema Nantanga alipozungumza na Mwananchi kwa simu jana jioni na kuongeza:
“Wizara ya Fedha na Wizara ya Mambo ya Ndani, zimeundwa task force (kikundi kazi) kwa ajili ya kulifanyia kazi tatizo hilo, mambo yatakuwa mazuri muda si mrefu”.
Kwa mujibu wa Nantanga, kikundi kazi hicho kina wajibu wa kufuatilia na kubaini chanzo cha tatizo hilo, kushughulikia mfumo wa malipo kusoma vipengele vyote vya mishahara ya polisi na kuhakisha askari wote waliokatwa fedha zao zinarejeshwa.
Alisema makamanda wa polisi wa mikoa yote nchini tayari wamejulishwa kuhusu matatizo hayo ili waweze kufikisha ujumbe kwa askari polisi zaidi ya 16,000 ambao walikumbwa na tatizo hilo.
Hata hivyo Natanga hakuweza kutaja kiasi cha fedha kilichokatwa kwa makosa kwa maelezo kwamba ilikuwa ni mapema kutokana na kuwepo kwa viwango tofauti vya malipo ya posho kwa polisi husika.
Waziri wa Fedha na Uchumi, Muspha Mkullo akizungumza na gazeti la The Citizen ambalo ni dada na gazeti hili alikiri kuwepo kwa matatizo ya malipo lakini akasema Waziri wa Mambo ya Ndani ndiye anayepaswa kutoa ufafanuzi.
“Ndiyo kuna tatizo lakini tumekubaliana kwamba Waziri wa Mambo ya Ndani ndiye anayepaswa kuzungumzia suala hilo,”alisema Mkullo.
Taarifa za kukatwa kwa mishahara ya polisi zilianza kusikika katikati ya wiki hii, na juzi baadhi ya polisi walifika Mwananchi kulalamikia suala hilo.
Malalamiko hayo pia yaliripotiwa katika mikoa mingine nchini ikiwemo Dodoma na Ruvuma.
Lakini jana jioni msemaji mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Isaac Nantanga aliliambia mwananchi kwamba kukatwa kwa malipo ya polisi kulitokana na mfumo wa malipo ya mishahara kuruka vipengele viwili ambavyo ni posho ya upelelezi na ile ya pango.
Kwa upande wake Kagasheki alisema uamuzi wa kuondoa posho ulichukuliwa na serikali katika kubana matumizi yake, lakini haukutakiwa kugusa polisi au majeshi.
Balozi Kagasheki alisema posho ya upelelezi na nyumba kwa polisi zimeondolewa pengine kwa hasira za watumishi wa hazina kwa sababu wanazozijua, lakini sio maelekezo ya serikali. Inakadiriwa zaidi ya polisi 16,000 wameathirika mpango huo.Mwananchi jana liliripoti taarifa za kufyekwa kwa mishahara ya polisi, huku mamlaka zinazohusika zikirushiana mpira kuhusu suala hilo.
Lakini jana Balozi Kagasheki alisema kabla ya uchaguzi mwaka jana, Baraza la Mawaziri lilikubaliana kuondoa posho ambazo alidai zimekuwa kubwa kuliko bajeti ya mishahara na maendeleo, lakini uamuzi huo haukutakiwa kugusa majeshi.“Fungu la posho limekuwa kubwa linatisha linazidi fungu la mishahara na maendeleo.
Ndio maana Baraza la Mawaziri likamwambia PM (Waziri Mkuu) kwamba kwa hali hii hatuwezi kufika lazima posho zikatwe, lakini uamuzi huo haukutakiwa kuhusisha majeshi yetu,” alisema Balozi Kagasheki na kuongeza:“PM aliahidi kusimamia hilo mara moja. Lakini pengine naweza kusema watu wa Hazina kwa hasira bila kufanya utafiti wakaamua kufyeka hata posho za polisi.
"Nasema hivyo kwa sababu Hazina ndio wanufaika wakubwa wa posho hizo wanajipangia vikao wenyewe wanavyotaka, posho zinazolipwa zinatisha!”Naibu waziri huyo alisema haingii akilini kwamba posho walizopewa polisi kuanzia Julai mwaka jana, tena kwa kusimamiwa na Rais Jakaya Kikwete, ziondolewe leo bila maelezo yoyote kwa wahusika.“Mimi kama mimi nasema this is unfair (hii sio haki) zirudishwe haraka,” alisema Balozi Kagasheki na kuongeza kuwa, posho hizo zililenga kuwapunguzia makali na kuwaepusha na vishawishi vya kuingia kwenye mitego ya rushwa.
Alisema mishahara na posho za polisi bado ziko chini, ukilinganisha na nchi jirani na kwamba, anasikitika kwa taarifa za kufyekwa posho hizo kutofikishwa ngazi za juu.Kuhusu suala la polisi kutupiana mpira na Hazina, Balozi Kagasheki alisema sio kweli kwamba, jeshi hilo halina taarifa hizo kwa sababu takribani kwa siku tatu wamekuwa wakikutana na wenzao wa hazina kuhakikisha posho hizo zinarejeshwa haraka tangu makato ya Desemba mwaka jana.
Kwa upande wake Nantanga alisema inasadikiwa kulikuwa na hitilafu katika mfumo wa malipo uliosababisha kurukwa kwa vipengele viwili ambavyo ni posho ya nyumba na posho ya upelelezi.
“Bado hatujafahaumu kilichotokea, lakini sauala hilo linafanyiwa kazi,”alisema Nantanga alipozungumza na Mwananchi kwa simu jana jioni na kuongeza:
“Wizara ya Fedha na Wizara ya Mambo ya Ndani, zimeundwa task force (kikundi kazi) kwa ajili ya kulifanyia kazi tatizo hilo, mambo yatakuwa mazuri muda si mrefu”.
Kwa mujibu wa Nantanga, kikundi kazi hicho kina wajibu wa kufuatilia na kubaini chanzo cha tatizo hilo, kushughulikia mfumo wa malipo kusoma vipengele vyote vya mishahara ya polisi na kuhakisha askari wote waliokatwa fedha zao zinarejeshwa.
Alisema makamanda wa polisi wa mikoa yote nchini tayari wamejulishwa kuhusu matatizo hayo ili waweze kufikisha ujumbe kwa askari polisi zaidi ya 16,000 ambao walikumbwa na tatizo hilo.
Hata hivyo Natanga hakuweza kutaja kiasi cha fedha kilichokatwa kwa makosa kwa maelezo kwamba ilikuwa ni mapema kutokana na kuwepo kwa viwango tofauti vya malipo ya posho kwa polisi husika.
Waziri wa Fedha na Uchumi, Muspha Mkullo akizungumza na gazeti la The Citizen ambalo ni dada na gazeti hili alikiri kuwepo kwa matatizo ya malipo lakini akasema Waziri wa Mambo ya Ndani ndiye anayepaswa kutoa ufafanuzi.
“Ndiyo kuna tatizo lakini tumekubaliana kwamba Waziri wa Mambo ya Ndani ndiye anayepaswa kuzungumzia suala hilo,”alisema Mkullo.
Taarifa za kukatwa kwa mishahara ya polisi zilianza kusikika katikati ya wiki hii, na juzi baadhi ya polisi walifika Mwananchi kulalamikia suala hilo.
Malalamiko hayo pia yaliripotiwa katika mikoa mingine nchini ikiwemo Dodoma na Ruvuma.
Subscribe to:
Comments (Atom)

















